Sijivunii wazazi wangu

Sasa wewe ushajitambua anzia hapo kuweka mambo sawa kwa kizazi chako...Wengi wazazi ni chenga ..

Kuna somo hapo nimeona sidhani Kama karma pia inaweza kukurudia we nenda mbele kwa mbele ,kama sijakosea hata kuwasalimia mara nyingi huendi ila sio kwamba hupendi basi ni changamoto tu za maisha.

Piga moyo konde wengi hawataki kurudi kwao na kutokana na matatizo kama hayo yako ..pambana
 
kuna ule msemo

"unazaliwa bira ridhaa yako ila kesho ya maisha yako n ujipambanie mwenyewe"
🤣🤣🤣🤣 only encounter from Africa ...Kuna kipind watu watawafungulia wazazi wao kesi kama wale wahindi na wazungu.
 
Usimtukane wala kumtanzaga mama yako (eti singo mama).

Usimseme vibaya baba yako kwasababu bado anaishi kwa wazazi wake na hajafanikiwa kutoboa maisha.
Hao bado ni wazazi wako (haijalishi hata kama wangelikua vichaa)
Kweli,Ila wao wanachokifanya ni Sawa?
 
Pole sana mkuu ila make sure watoto wako hawaji kukulalamikia namna hii

Hiyo laana iishie kwako
 
Usimtukane wala kumtanzaga mama yako (eti singo mama).

Usimseme vibaya baba yako kwasababu bado anaishi kwa wazazi wake na hajafanikiwa kutoboa maisha.
Hao bado ni wazazi wako (haijalishi hata kama wangelikua vichaa)
Hajawasema ila ameongea ukweli tu

Ni kweli mama yake ni Single mom
Na
Ni kweli baba yake hana nyumba anaishi kwa mama yake


Huu ni ukweli hajasemwa mtu
 
Binafsi I appreciate hiki ulichokifanya, kusema yanayokusibu ni hatua moja ya kukuponya
Pole na hongera sana mkuu
 
Si bora wewe ulisomeshwa mpaka form four! Wengine wamezaliwa wakaishi kwao kama gerezani hakuna amani, ni fujo mwanzo mwisho Matokeo yake watoto wanakimbilia kujitegemea mitaani wakiwa bado wadogo kiumri, Hata hivyo shukuru maana kwenye maisha kuna mambo yanatokea na usiweze kuzuia lolote.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Duh ndefu

Ila pole kwa masahibu.
Mwaka huu naacha pombe nilee wanangu vizuri 🤪🤪🤪 wasijenilaumu huko mbeleni
 
Kama hakukuwekea misingi imara ya maisha utamsaidia nini? Waafrika tuache upumbumbaf eti kuombeana,iko hivi,kama hukufanya/hufanyi juhudi zozote kutayarisha maisha yako,maombi yatakuwa nonsense.
 
Fuatilia sheria za USA au Europe kuhusu watoto ndo utajua hapa kwetu tunafanya mizaha sana.
Yaani waafrika ni wajinga sana,wanaona mzazi kumnyima haki mtoto ni Sawa,Ila mtoto kulalamika haki kutoka kwa mzazi au mapunngufu ya mzazi,eti ni kutoheshimu wazazi 🚮
 
Yaani waafrika ni wajinga sana,wanaona mzazi kumnyima haki mtoto ni Sawa,Ila mtoto kulalamika haki kutoka kwa mzazi au mapunngufu ya mzazi,eti ni kutoheshimu wazazi 🚮
Mwaka jana Ferre Gola alifungwa miezi mitatu Ufaransa kwa kosa la kumpiga mwanae. Mtoto alienda kushtaki. Ferre akala mvua ya miezi mitatu.
 
Umejawa na manung'uniko sana hata hizi baraka zitaingilia mlango upi, kila mtu akimtafuta wa kumuangushia jumba bovu humu hakutatosha,,

Huna shukrani kabisa shenzi
 
Wanaweza wasikuelewe , wanaJF wengi Ila nakuelewa vzr kabisa Mkuu

Bora pia ulivolisema hapa!

Mungu akusaidie katika mapito yako na akanyooshee njia zako
 
shukran sana mkuu
 
much love mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…