Sijivunii wazazi wangu

Umejawa na manung'uniko sana hata hizi baraka zitaingilia mlango upi, kila mtu akimtafuta wa kumuangushia jumba bovu humu hakutatosha,,

Huna shukrani kabisa shenzi
haina noma mkuu
 
thank you mkuu
 
Pole man muombe Mungu akupe kipato n Mke mwema ilo badae usije ukafny kw wtt wako km walicho Fny wazazi wako
 
unajua mkuu kila mmoja ana kikomo chake cha uvumilivu? So mtu akieleza hisia zake kama msaada hauna japo ushauri don't start comparing shida zake na za mwingine maana hatushindani yupi ana shida zaidi ya mwenzake ila tunajaribu kusaidiana kutatua shida za wengine
 
nilichonacho kipi sasa mkuu huoni kwamba ndo nalalamika kuwa sina kitu.
Huko kulalamika ndio kubaya, be proud to your parents whatever the situation is,
Hapa jukwaani hatujuani we ungesifia tu wazee wako upate kubarikiwa kuliko kuwasemea hapa(kama ni kweli)coz mzazi ni mzazi tu hata iweje ndio nikakwambia
Wewe na kila chako ni vya wazazi wako,
Ulikua mdogo wakakulea, umekuwa mkubwa wao wamezeeka walee, hii ndio kanuni
 
Hawa ni wale wazazi hata humu wamo. Wao wanajiona wajanja kutusua Mbususu tu. Lakini kulea familia hawana habari.

Pole sana mkuu.

We komaa Mungu atakujalia.

Sio kila mzazi ni mwema.
 
wazazi wangu hawajazeeka bado, kuhusu kuandika huu uzi inatokea tu wakati unamood mbaya mambo hayaendi alafu unatafakari unaona kikwazo kipo sehemu fulani, Ujue mkuu kuna nguvu za kieoho zinaendesha maisha yetu.... Imagine wazazi wangu ni watu wa vinyongo wakati wote so hata nikiona mambo hayaendi naanza kuhisi au baba/mama ana kinyongo sijamtumia hela muda.... then unaniambia nisiseme kweli?
 
Hawa ni wale wazazi hata humu wamo. Wao wanajiona wajanja kutusua Mbususu tu. Lakini kulea familia hawana habari.

Pole sana mkuu.

We komaa Mungu atakujalia.

Sio kila mzazi ni mwema.
shukran sana mkuu
 
Mshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuwatunza wazazi,,kuna watu wanaitamani iyo nafasi uliyonayo kwa sasa lakini ndo ivo kazi ya Mungu haina makosa,,,kumbuka no one's perfect,,,hayo ni madhaifu madogo sana na amini ya kwamba ipo siku watatambua makosa yao kwa kukutamkia mambo ambayo hawakupaswa kukutamkia na watatubu,,,unachopaswa kwa sasa ni kuwapenda na kuzidi kuwaombea wazazi wako,,,changamoto zao zisikufedheeshe na kujiona umeshindwa,,,muombe mwenyezi Mungu maneno ya kinywa chako na mawazo ya moyo wako yapate kibali mbele zake,,utaishi vizuri sana.
 
shukran sana mkuu
Ukiwasikia humu wanavyojidai kunyandua mbususu utajua ndio aina ya wazazi kama hao.


Watu sasa wabebe matokeo ya matendo yao.

Kama mtoto hukumwandalia mazingira bora usitegemee kupata msaada wake eti kisa ni mzazi.

Tujifunze kwa watu waliofanikiwa.

Mfano Mtoto wa Kikwete pamoja na kwamba ni bilionare lakini usishangae kuambiwa bado anaishi kwenye nyumba ya Baba yake na Mama yake.

Huo ni mfano tu. Lakini mifano ipo mingi kila mtu pahala pake.

Maskini watoto wakikuwa tu wote anatamani waondoke nyumbani wakaanze maisha yao. Sio kwamba ndio utaratibu bali ni kukosa upendo na kuzaa bila mipango.

Tajiri akizaa watoto anatamani hata ukioa utaoa ukiwa unaishi nyumbani kwa Baba na Mama.

Huku kwetu uswazi ukifikisha miaka 18 tu wanatamani wakufukuze.
 
Tatizo lako ni kwamba huku haupo na kule haupo, yaani unajua kabisa kwamba wazee wakikasirika inaweza kua mbaya halafu bado unawakera kwa kuwasemea hapa jukwaani si sawa, hivi wao nao wakianza kusema hapa huyu alivyokuwa mdogo alitupa taabu hizi na hizi, mara kulia, mara kuumwa, mara njaa, mara nguo mara maradhi mara hivi mara vile utafrahia?
Heshimu wazee kadri uwezavyo ili ubarikiwe
 
Wazazi wazembe kama hawa sio vyea kuendelea kuwahendekeza. Ulaya walishaachana na huo ujinga.

Mtu anakunywa Mbege tu kila siku anazaa bila mpango then ategemee watoto wake kusaidiwa.

Hata sasa mitaani kuna vijana wanazalisha watoto hovyo na matokeo yake tunapata vuzazi kama huyu mtoa mada.

Kama jamii tuikatae hii tabia ya wazazi kupenda starehe ya ngono huku wakiwa hawana habari na matokeo ya ngoni hiyo.

Fikiria hapo ulipo kuna single mother wangapi? Nani atawalea hao watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…