Sijui alipatwa na nini kilichopelekea kujiua!

Sijui alipatwa na nini kilichopelekea kujiua!

. Ameacha mke, ambaye ni mama wa nyumbani na watoto wawili wadogo, mdogo akiwa hajafikisha hata mwaka.

Najiuliza kwanini alifanya jaribio la kujiua kwa nguvu namna hiyo kwa zaidi ya mara mbili kwa ndani siku moja? Ameumiza sana moyo wangu nikiangalia watoto wake wadogo.

Wakuu hii kwenu imekaaje, mnafikiri mwana alipatwa na nini?
Hakika nakuambia mke wake atakuwa na jibu, lkn hatawashirikisha kamwe
 
Kujiua au kuua mtu ni abnormal experience. Inahusiana Sana na magonjwa ya akili kama depression na PSYCHOSIS. Haya magonjwa ni kawaida Kwa vijana wa age 20s. Na Mara nyingi mtu aliejiua, aliwahi kuwa na mawazo hayo kabla. Inawezekan kipindi hana ajira alifikiria Hilo. Maisha ya familia yameshindwa kumpa furaha au yanakula kipato ambach alipanga atakitumia kula Bata. Hakupata muda wa kulila Bata aliyopanga akiajiriwa
 
Halafu anakuja mpumbafu flani anasema pombe na gomba inaondoa mawazo
 
Hakuna watu miserable na lonely kama watu walio katika ndoa ambazo partners wao ni toxic au hawasomani na kuelewana
Hilo ni balaa sasa sijui kama tutaoa...aisee
 
Tembo siyo chai.
Sio kila unachokiona ni chai, tafakari kwanza ingawa wanasema muache mpumbavu aongee tujue level ya upumbavu wake ila jitafakari kila unachokiona sio chai mengine maziwa tena fresh sio mtindi
 
Stress tu... unakuta miaka nane aliyokua anafight bila ajira alishajipanga freshi na alikua anapiga hela zake mtaani bila masimango mara paaap kapata ajira af alichokikuta kwenye ajira ni tofauti na matamanio yake yooote aliyokua akiyategemea
 
Habari wakuu,

Iko hivi alikuwa ni kijana nadhifu, mchangamfu na kikubwa mwenye uwezo mkubwa darasani. Baada ya harakati za masomo alimaliza shahada yake ya kwanza 2014. Kwa kipindi cha karibia miaka nane hakupata kazi ila alichakarika haswa kwa kufungua genge na kuhudumia familia kwa kazi hiyo.

Mungu si Athumani mwaka huu mwezi wa saba alipata ajira serikalini, hajapokea hata mishahara mitatu shetani ashamvaa, sijui alipatwa na nini. Alianza kama matani siku kama nne kabla siku yake ya mwisho akaanza kusema akilewa kuwa atajiua, ila walio karibu yake wakachukulia poa wakihisi ni ulevi.

Siku ya tukio ndiyo inanifikirisha sana, aliamka vizuri mida ya mchana akawa amelewa chakari. Akaanza tabia yake ya kusema anataka kujiua, ila hii siku hii kauli ilionekana kuwa na nguvu zaidi, watu wakamkamata na kampeleka kituo cha polisi. Polisi walikaa naye kama masaa matatu mpaka walipomuona yuko sawa na pombe zimepungua, wakamwachilia, kumbe hawakujua masikini.

Alipotoka hapo alikwenda kumeza sumu ya panya ila akaona haoni matokea hivyo akaanza kupiga kelele kulalamika kwanini hafi na amekunywa sumu, akaamua kumeza coin mbili za shilingi mia mbili.

Baada ya muda mfupi hali yake ilikua mbaya akakimbizwa hospitali, Mungu saidia akapata huduma na kupata nafuu kubwa. Daktari wake akasema angeshughulika na sarafu alizomeza kesho yake, aliyekuwa akimuhudumia akaagizwa kwenda kumtafutia walau uji maana alikuwa amechoka mno, angejua asingekwenda.

Baada ya kuachwa hospitali alitoroka na kwenda kujizamisha ziwani, kitu kilichopelekea kifo chake. Ameacha mke, ambaye ni mama wa nyumbani na watoto wawili wadogo, mdogo akiwa hajafikisha hata mwaka.

Najiuliza kwanini alifanya jaribio la kujiua kwa nguvu namna hiyo kwa zaidi ya mara mbili kwa ndani siku moja? Ameumiza sana moyo wangu nikiangalia watoto wake wadogo.

Wakuu hii kwenu imekaaje, mnafikiri mwana alipatwa na nini?
Lazima mkewe anajua
 
Smart,mchangamfu!

Nimekumbuka nikiwa chuo nilivokuwa smart lakini Sina furaha ya KWELI!!

UKWELI ni kwamba tuna hustle Sana kutafuta Maisha KWA Muda mrefu!unasoma hadi chuo una matumaini makubwa unapata kazi unaona inamaana zile juhudi zote kazi yenyewe NDIO hii!!?

Ina Maana Maisha niliohangaikia ndio haya!?

Hayaridhishi unajuta Sana kuhangaika kote kumbe Bure!

Halafu unajikuta unaoa mwanamke Sio type yako aiseh!unaishi coz una watoto nae!Ndugu nao wanakuangalia KWA KILA kitu!aiseh you are gone with stress!!

UKWELI NI KWAMBA MTOTO AKIKOSEWA KULELEWA TU WAKATI WA MAKUZI AMESHAKUFA TAYARI JAPO ANAPUMUA!!

WRITTEN!
 
Smart,mchangamfu!

Nimekumbuka nikiwa chuo nilivokuwa smart lakini Sina furaha ya KWELI!!

UKWELI ni kwamba tuna hustle Sana kutafuta Maisha KWA Muda mrefu!unasoma hadi chuo una matumaini makubwa unapata kazi unaona inamaana zile juhudi zote kazi yenyewe NDIO hii!!?

Ina Maana Maisha niliohangaikia ndio haya!?

Hayaridhishi unajuta Sana kuhangaika kote kumbe Bure!

Halafu unajikuta unaoa mwanamke Sio type yako aiseh!unaishi coz una watoto nae!Ndugu nao wanakuangalia KWA KILA kitu!aiseh you are gone with stress!!

UKWELI NI KWAMBA MTOTO AKIKOSEWA KULELEWA TU WAKATI WA MAKUZI AMESHAKUFA TAYARI JAPO ANAPUMUA!!

WRITTEN!
Hapo kwenye malezi na makuzi mkuu pajazilizie nyama, natamani nisikosee hapo kwa watoto wangu.
 
hata mm siku siyo nyingi nitafanya hivi
Nani atatuletea mrejesho sasa, jiue kama umepoteza uanaume wako ila kama bado upo unafaida, yani kama huna cha kupoteza basi vuka boda katafute maisha ughaibuni uko
 
Back
Top Bottom