Sijui alipatwa na nini kilichopelekea kujiua!

Sijui alipatwa na nini kilichopelekea kujiua!

Hata kama tuna dhambi tusiache kumuomba Mungu heri na amani ya moyo na afya ya akili! Mashindano kwy maisha ni mengi sana,depression inabeba kijiji siku hizi achilia mbali mambo ya mapenzi.
Dont expect anything from anyone na usijilinganishe na mtu yeyote kimaendeleo wala usione umechelewa kila mtu yupo kwy time zone yakufanikiwa.
 
Natanguliza pole zangu kwa wafiwa wote... POLENI KWA KWA KUFIKWA NA MSIBA...
kupanga ni kuchagua au kuchagua ni kupanga


WAKULUNGWA ngoja niwaibie siri, hasa kwa sisi vijan wa leo.... tusikimbilie mambo ambayo tutayakuta mbeleni....
 
Back
Top Bottom