Hakika nakuambia mke wake atakuwa na jibu, lkn hatawashirikisha kamwe. Ameacha mke, ambaye ni mama wa nyumbani na watoto wawili wadogo, mdogo akiwa hajafikisha hata mwaka.
Najiuliza kwanini alifanya jaribio la kujiua kwa nguvu namna hiyo kwa zaidi ya mara mbili kwa ndani siku moja? Ameumiza sana moyo wangu nikiangalia watoto wake wadogo.
Wakuu hii kwenu imekaaje, mnafikiri mwana alipatwa na nini?
Hilo ni balaa sasa sijui kama tutaoa...aiseeHakuna watu miserable na lonely kama watu walio katika ndoa ambazo partners wao ni toxic au hawasomani na kuelewana
Sio kila unachokiona ni chai, tafakari kwanza ingawa wanasema muache mpumbavu aongee tujue level ya upumbavu wake ila jitafakari kila unachokiona sio chai mengine maziwa tena fresh sio mtindiTembo siyo chai.
Acha hii kitu tafadhalihata mm siku siyo nyingi nitafanya hivi
Sana Tena mnoooUmeongea kitu kizito, nimeogopa sanaa,
Haya mambo yanawezekana eeh?
Lazima mkewe anajuaHabari wakuu,
Iko hivi alikuwa ni kijana nadhifu, mchangamfu na kikubwa mwenye uwezo mkubwa darasani. Baada ya harakati za masomo alimaliza shahada yake ya kwanza 2014. Kwa kipindi cha karibia miaka nane hakupata kazi ila alichakarika haswa kwa kufungua genge na kuhudumia familia kwa kazi hiyo.
Mungu si Athumani mwaka huu mwezi wa saba alipata ajira serikalini, hajapokea hata mishahara mitatu shetani ashamvaa, sijui alipatwa na nini. Alianza kama matani siku kama nne kabla siku yake ya mwisho akaanza kusema akilewa kuwa atajiua, ila walio karibu yake wakachukulia poa wakihisi ni ulevi.
Siku ya tukio ndiyo inanifikirisha sana, aliamka vizuri mida ya mchana akawa amelewa chakari. Akaanza tabia yake ya kusema anataka kujiua, ila hii siku hii kauli ilionekana kuwa na nguvu zaidi, watu wakamkamata na kampeleka kituo cha polisi. Polisi walikaa naye kama masaa matatu mpaka walipomuona yuko sawa na pombe zimepungua, wakamwachilia, kumbe hawakujua masikini.
Alipotoka hapo alikwenda kumeza sumu ya panya ila akaona haoni matokea hivyo akaanza kupiga kelele kulalamika kwanini hafi na amekunywa sumu, akaamua kumeza coin mbili za shilingi mia mbili.
Baada ya muda mfupi hali yake ilikua mbaya akakimbizwa hospitali, Mungu saidia akapata huduma na kupata nafuu kubwa. Daktari wake akasema angeshughulika na sarafu alizomeza kesho yake, aliyekuwa akimuhudumia akaagizwa kwenda kumtafutia walau uji maana alikuwa amechoka mno, angejua asingekwenda.
Baada ya kuachwa hospitali alitoroka na kwenda kujizamisha ziwani, kitu kilichopelekea kifo chake. Ameacha mke, ambaye ni mama wa nyumbani na watoto wawili wadogo, mdogo akiwa hajafikisha hata mwaka.
Najiuliza kwanini alifanya jaribio la kujiua kwa nguvu namna hiyo kwa zaidi ya mara mbili kwa ndani siku moja? Ameumiza sana moyo wangu nikiangalia watoto wake wadogo.
Wakuu hii kwenu imekaaje, mnafikiri mwana alipatwa na nini?
Mungu atatufanyia wepesi bro 😁😁Hilo ni balaa sasa sijui kama tutaoa...aisee
hata mm siku siyo nyingi nitafanya hivi
Oyaa retreat kwenye mambo mawili yaani pombe na mademu kama sehemu ya kuondolea MSONGO wa MAWAZO!hata mm siku siyo nyingi nitafanya hivi
Hapo kwenye malezi na makuzi mkuu pajazilizie nyama, natamani nisikosee hapo kwa watoto wangu.Smart,mchangamfu!
Nimekumbuka nikiwa chuo nilivokuwa smart lakini Sina furaha ya KWELI!!
UKWELI ni kwamba tuna hustle Sana kutafuta Maisha KWA Muda mrefu!unasoma hadi chuo una matumaini makubwa unapata kazi unaona inamaana zile juhudi zote kazi yenyewe NDIO hii!!?
Ina Maana Maisha niliohangaikia ndio haya!?
Hayaridhishi unajuta Sana kuhangaika kote kumbe Bure!
Halafu unajikuta unaoa mwanamke Sio type yako aiseh!unaishi coz una watoto nae!Ndugu nao wanakuangalia KWA KILA kitu!aiseh you are gone with stress!!
UKWELI NI KWAMBA MTOTO AKIKOSEWA KULELEWA TU WAKATI WA MAKUZI AMESHAKUFA TAYARI JAPO ANAPUMUA!!
WRITTEN!
Jamaa alikua analewa balaa ila bado alijiua, nafikiri kuna kitu kingine cha ziada kinahitajika.Oyaa retreat kwenye mambo mawili yaani pombe na mademu kama sehemu ya kuondolea MSONGO wa MAWAZO!
Nani atatuletea mrejesho sasa, jiue kama umepoteza uanaume wako ila kama bado upo unafaida, yani kama huna cha kupoteza basi vuka boda katafute maisha ughaibuni ukohata mm siku siyo nyingi nitafanya hivi