Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Baba tupia lile dude Gwajiboy anakaja mauno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


CCM sijui mmewachukuliaje wana Kawe mwaka huu?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi wa wanakawe ni wasomi na wana access na teknohama wanajua vitu vingi. Wanakumbukumbu pia

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kalaghabaho
 
Kwa hiyo ndugu yangu na utu uzima huo unaamini Gwajima anaweza kuufuta Uislamu?
Kitendo tu cha kutishia kua ana ndoto ya kugeuza misikiti kua Sunday school kinatosha kumfanya kua adui wa uislamu na waislamu. Sio tu waislamu hawapaswi kumpa kura zao bali pia ni jukumu lao kuhakikisha hachaguliwi kwa ujumla.
 
Unataka tufukue kashfa za Pascal Mayalla , maana naye ni wa kulekule
 
Hahaha hata hii video siyo kweli ni uongo tu dhidi ya Gwajima?!

Kweli mapenzi ni upofu, na akili ni nywele..., duh.
 
Wameshachelewa na ninachojua tu ni kwamba kama kuna Jimbo ambalo Askari Polisi na FFU wengi watajaa wakati wa Kutajwa Matokeo ni Kawe.
Polisi wengi tena? Kwamba itakua ngumu kutangaza matokeo, au?
 
Nitajie mhehe ambaye ni Muislamu???kawe kuna wapiga kura wenye imani tofauti tofauti na ujinga wenu wakumweka gwajiporn jimbo mmelikosa kiulainiiiii.....


Mbona wapo wengi tena huwa na imani kali!
 
Hivi unazifahamu hizo nyumba za bati alizokua anasema??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…