Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo


'ID' yako ndivyo ilivyo hivi au labda kuna mahala herufi 'n' imesahaulika mahala hapo?
 

Imbecile.
 
Alimshambulia Askofu Pengo kama mtu binafsi, lakini alijidai hatambui mamlaka ya Askofu Pengo kikanisa, na alimtukana, mjinga na mpumbavu.

Hivi wakatoliki kumbe ndo viranja wa makanisa yote ya kikristo?? Na inabidi viongozi wao watambulike na makanisa yote?
 
Zile video zake za ukabila nazo ziko kwenye list, hapenyi Halima ni mbunge anayengojea kuapishwa.
 
Hizo kauli zake zilikuwa zimesahaulika naona zimeibuka tena gafla baada ya kushinda ,hii funzo kwamba kuwa makini na unachoongea itafika mda itakuathiri ,sasa hivi hii hoja yake imeibuliwa upya tena kwa ushawishi mkubwa
Alikanusha kugombea ubunge kwa vile yeye cheo chake kama askofu ni kikubwa kuliko mbunge au rais. Sasa anaungama "nimekosa mimi ... Nimekosa sana..."

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kama waislamu wa Kawe wanataka waone misikiti inageuzwa sunday school au wakiamriwa waondoe vipaza sauti kwenye misikiti yao, basi wampe kura huyu Porn Star, ila kama wanataka kuishi kama waislamu wengine nchini kote, Halima Mdee anatosha.
 
Gwaji ni mtu wa kula matapishi yake kutokana na kauli zake anazozitoaga ktk madhabahu yake uchwara nyingi znamrudia yeye mwenyewe na siku zote Mungu hamfichi Mnafiki nina Imani wana Kawe watafanya maamuzi sahihi kwa huyu Mwanaizaya.
 
Kwa chagizo lako hili nimeujua msimamo wako wa kisiasa, we sio shabiki bali unaongelea facts haijarishi mgombea anatoka chama gani.

Mimi kama mkazi wa jimbo la kawe Gwajima hapati kura yangu kwa tabia zake za kigeugeu ambazo mtumishi wa Mungu wa kweli, mwenye hofu ya Mungu wa kweli hawezi kuwa nazo.

Na kwa jinsi alivyo nachelea kuwa na wasiwasi sana na huduma yake ya kiutumishi.
 
Kabisa mkuu usifanye ivyo peke yako siku ya kupiga kura mkumbushe na jirani yako Kawe kuna uchaguzi wa ‘good vs evil’ tusikubali evil (Gwajima) ashinde.
 
Kabisa mkuu usifanye ivyo peke yako siku ya kupiga kura mkumbushe na jirani yako Kawe kuna uchaguzi wa ‘good vs evil’ tusikubali evil (Gwajima) ashinde.
Hapa nimejiongelea mimi binafsi ila ni wakazi wengi wa hapa hawapendezwi na tabia alizozionesha kwenye jamii. Eneo hili ana support ndogo sana, ajue kwamba wakazi wa hapa tunajielewa na tunasimamia yaliyomema
Tusubiri tuone kitakachojiri
 
Mohamed Said unawasikia Vijana? Wanakumbusha madrasa kugeuzwa sunday school!

Nimesoma hii nikitokea katika viunga vya minazi, leio janguo liliitika, si haba. Kesho nitacheka ngamiani sokoni

Nakugutia vijana wana neno, ukishawasoma tuhamie kule tujadili kwa kina na urefu wake.
Au unasubiri kuyasema wakati wa Taazia?

Pascal Mayalla Mag3
 
Kama Gwajima Ni weak candidate against Mdee kusingekuwa na thread nyingiii za kumchafua, hicho Ni kiashiria kuwa anaogopeka
 
Kama Gwajima Ni weak candidate against Mdee kusingekuwa na thread nyingiii za kumchafua, hicho Ni kiashiria kuwa anaogopeka
 
Kama Gwajima Ni weak candidate against Mdee kusingekuwa na thread nyingiii za kumchafua, hicho Ni kiashiria kuwa anaogopeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…