Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Mtume S.A.W siyo Mtume M.S.W
 
GENTAMYCINE,

Gwajima anagombea kupitia chama kikubwa cha siasa chenye dola na ukwasi, si rahisi kushindwa!
 


Mbona ile video ilisemekana ilitengezwa na wasiomtakia mema?

Sasa wangemshitaki aloitengeza au wamshitaki aliyechafuliwa?

Manake wangemshitaki Gwajima ambaye amechafuliwa wasingelimtendea haki badala yake ilipaswa wawashitaki walioitengeneza kwa kutaka kumchafua na kuingilia faragha yake!

Hata kama ingekuwa ni kweli amezini bado hiyo serikali haiwezi kuingilia hiyo angejuana yeye na Mungu wake atakavyomhukumu

Kwani nikuulize ni wachungaji/padri na mashekhe/maimamu wangapi wanaozini?

Na wengine wanakutwa ugoni kabisa Je serikali iwe inaingilia kati kuwashitaki?!

Tupendane tushirikiane tusihusudiane
 
Hapa kamati kuu imeingia choo cha kike ikiwezekana wabadilishe gia angani
Kwani choo cha kike hakikidhi haja za wanawake? au ni vyoo vya kiume vinaweza kukidhi haja za wanawake? kama kamati kuu haina wanawake naungana nawe kabisa, vinginevyo hapana
 
GENTAMYCINE,

Kawe asilimia kubwa ni wakristo na walokole sana ndio maana makanisa chungu mzima yako huko.ni sawa useme gwajima kugombania mbagara.
 
Gwajima anagombea kupitia chama kikubwa cha siasa chenye dola na ukwasi.,si rahisi kushindwa!!!
Kwani miaka yote Halima aliposhinda CCM hawakuwa na mgombea? Kuna kiwango cha ushindi hata wenyewe wanajistukia kuchakachua.
 

Tutaacha tu akielewa makosa yake na kutubu madhabauni nitakuwa wa kwanza kumpigia kura
 
Na mnaowaita makafir ni kina nani?
 
Nauliza kwa dhati kabisa kutoka moyoni

Ni wazi tuna mabinti katika jimbo letu na tungependa wawe chini ya uongozi salama,mabinti zetu wakienda kutembelea ofisi zake watoke salama bila harassments zozote

Tumkabidhi mabinti zetu kweli(au wake zetu)? Watakuwa salama? Huko alikokuwa aliacha usalama ?
 
October 28 baada ya masanduku ya kura kuongea usiache kurudi hapa na huu ujinga wako uliouweka hapa.
 
October 28 baada ya masanduku ya kura kuongea usiache kurudi hapa na huu ujinga wako uliouweka hapa.

Bora Mimi Mjinga kuliko Wewe 'Pumbavu / Popoma' Mbobezi kabisa hapa Jamvini. Una safari ndefu mno tu ya kuweza Kubishana nami Kihoja hapa.
 
Cha kujifunza zaidi,
KAMA UNA NDOTO ZA KUWA MWANASIASA,LINDA SANA MDOMO WAKO.
Ni hatari sana kama upande wa pili utaamua kutumia udhaifu huo kumtesea Gwajima,hatokuwa na cha kujibu zaidi ya kuwa tu kimya,na kukubali yaishe na yeye kubaki tu akihubiri kanisani.
 
October 28 baada ya masanduku ya kura kuongea usiache kurudi hapa na huu ujinga wako uliouweka hapa.
Ungejibu hoja zake ungeonekana na akili sana kuliko hata yeye,ila kumuonyesha dharau kama hii kabla ya kujibu yale aliyo yatoa ni ishara ya udhaifu wa hali ya juu,hili nalo ni tatizo la wanachama wengi katika huu mtandao,
unaweza kumpinga mtu kwa vile unavyopenda bila kumtusi.
 
Yani nyie chadema ni matopolo kabisa uyuuyu Gwajima angegombea kupitia chama chenu msingekuwa mnaandika huo ujinga wenu mmeona amesimamishwa na chama cha mapinduzi na mmeona dhahiri kwamba awamu hii amtoboi ndio mnandika u ujinga wenu kwa taarifa yenu Gwajima ndio mgombea na atapita kwa kishindo nyie subiri muone tu, niwasauri tu kapambanieni ayo majimbo machache mliobakiza muone kama mtafanikiwa lakini kwa kawe mmeshashindwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…