Mkuu nakueleza kwa sisi waislam hatuna udini juu ya dini yetu, napopote pale tunajiona fahari kuwa waislam, tuna amini kila mtu anadini yake, wao nadini yao sisi na dini yetu. Nahatukashifu dini ya mtu napia hatupendi na hatuko tayari dini yetu kukashifiwa tutailingania popote pale kwa gharama yeyote Ile. Sasa kama Gwajima alitukashifu kwa kinywa chake ,hakuna muislam ambae anaweza mpigia Kura, Halima nimkristo pia lkn hatuko tayari kuongozwa na mkristo Gwajima anaetamka kwa kinywa chake atazigeuza madrasa/misikiti kuwa Sunday school hatuko tayari na kwahilo hatujifichi. Heri tuonekane wadini huku tukipinga wanaokashifu dini yetu waziwazi.