Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Unoboy hana nafasi ya kushinda labda kwa "kafara ya damu" kama ilvyokuwa kwa "MTOLEA"Ikiwa unataka kuanza biashara ukafikiri kuwa wafanyakazi wako watakuibia unachojiandaa nacho ni namna ya kuwadhibiti. Ukiona hilo huwezi ushajiandaa kushindwa. Usilalamike, jiunge nao upinzani wape mbinu za kulinda kura zao. Wacha KWIO mapema. Tulia mpira dakika 90. Ukiotea kama refa hajaona hilo nalo goli. Faulu pia zipo. Mpira gani unaanza na wasiwasi oooh sijui nini. Ni dalili za kuambulia nunge.
Ruksa kushangilia goli za kuotea na faulo lakini washangiliaji na mashabiki wanajulikana maamuzi yao wakiona haki inaporwa hawachelewi kuvunja viti na kurushia waamuzi na wachezaji chupa na vinyesi!!