Wewe siyo mkatoliki, na kama ni mkatoliki basi ukatoliki wako brain washed.
Mimi ni mkatoliki, na wakatoliki wote wenye kufahamu mazambi na usaliti wa Kadinari Pengo kwa wakristo wa madhehebu yote ni kukiuka makubaliano waliyokubaliana maaskofu wa madhehebu yote kuhusu msimamo wa kanisa kutokubaliana na mahakama ya kadhi.
Kama alivyo kibaraka sheikh mkuu wa Dar ndivyo alivyo kibaraka Pengo.
Nina mashaka na ukatoliki wako kama ufahamu ni kwa nini jimbo kuu la Dar Papa alimteuwa Ruwaichi kuwa Askofu mwandamizi kabla ya huyu Pengo kustaafu.
Wanaojuwa protocol ya kanisa katoliki wanajuwa hapa naandika nini, ingekuwa ni serikali za kawaida Pengo angestaafishwa kwa manufaa ya umma, ila kwa mfumo wa Vatican ili kukustiri unaletewa Askofu mwandamizi na madaraka yote muhimu unakabidhi kwake. Endover powers.
Kwa kifupi point yangu kwa hili Wakatoliki na wakristo wote tulikuwa nyuma ya Gwajima na mpaka kesho namuunga mkono kwa hili, huyu ndio Mtanzania pekee aliyethubutu kumvaa Pengo na kumpa makavu live bila kupepesa.
Baada ya kifo cha Mkapa mtu pekee ambaye anaweza kumwambia kitu Magufuli na akasikiliza na kutekeleza ni Pengo peke yake.
Lisu ni Mkatoliki na Magufuli ni Mkatoliki aliwahi kuwapatanisha kupitia ushawishi wake?
Ninachofurahi mimi ccm ndio waasisi wa siasa za kidini, imekuwa ikiwaumiza wapinzani kwa kuwatumia viongozi uchwara wa dini, this time nao waonje radha ya udini.