Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Kwa jinsi kashfa za utapeli, uongo, mambo mbali mbali zinazo ibuliwa kwa mgombea wao hata kabla ya kampeni kuanza wamesha ona walifanya papara kumpitisha Gwajima.

Sasa hivi yale mambo ya kufufua watu, kumtukana Askofu Pengo, picha za ngono na kubadili madrasa za kiislamu kuwa Sunday schools ndio yanaibuliwa kwa nguvu sana hakuna mfano na muda wa kumsafisha hakuna. Ni bora hata wangempitisha mwenzetu Pascal Mayalla asiye na kashfa
KAWE wanamtaka GWAJIMA
 
Lakini vile vile yawezekana kabisa kumpa Gwajima hii nafasi ndio bakora waliyoona inamfaa, Inawezekana CCM wame Sacrifice Jimbo la Kawe na kuligeuza kuwa bakora ya kumtandika huyu jamaa. Atakapo pigwa chini na Mdee itakuwa adhabu tosha ya upuuzi alioufanya. So Huenda CCM wamefanya makusudi kabisa huyu jamaa aaibishwe.
 
Halima Mdee hana kazi kubwa ya kufanya, anachotakiwa kufanya ni kuchukua TV screen kubwa na kuweka video ya Gwajima akifufua mtu, kisha kuwauliza wapiga kura je mnamuunga mkono muongo na Tapeli huyu kuwa kiongozi wenu?

Watu watasema hapana!

Kisha anamwaga sera zake, anafunga mkutano na kusepa. Ushindi ni asubuhi na mapema tu!
Cc Halima Mdee
 
Halima Mdee hana kazi kubwa ya kufanya, anachotakiwa kufanya ni kuchukua TV screen kubwa na kuweka video ya Gwajima akifufua mtu, kisha kuwauliza wapiga kura je mnamuunga mkono muongo na Tapeli huyu kuwa kiongozi wenu?
Watu watasema hapana!
Kisha anamwaga sera zake, anafunga mkutano na kusepa. Ushindi ni asubuhi na mapema tu!
Kama mnashinda mbona mnaweweseka sana na kuanzisha thread kwa jambo hilo hilo
 
Lakini vile vile yawezekana kabisa kumpa Gwajima hii nafasi ndio bakora waliyoona inamfaa, Inawezekana CCM wame Sacrifice Jimbo la Kawe na kuligeuza kuwa bakora ya kumtandika huyu jamaa. Atakapo pigwa chini na Mdee itakuwa adhabu tosha ya upuuzi alioufanya. So Huenda CCM wamefanya makusudi kabisa huyu jamaa aaibishwe.
We CCM we just dont throw a chance. Hatuna tabia ya kubahatisha maamuzi yanatokana na vikao na mikakati madhubuti.
 
Gwajima hakutukana, alisema ukweli kuhusu mwenendo wa ukigeugeu wa Askofu Pengo! kuwa ''ameaibisha Kanisa Katoliki ambalo linaheshimika Duniani alisema ''wenzako wanatoa maamuzi pengo analewalewa kama mtoto mdogo'' ina maana aliwageuka maaskofu wenzake kuhusu msimamo wa Mahakama ya Kadhi!

Tatizo sas baadhi ya watanzania wasio wakatoliki wana vi herehere vya kum-hukumu Gwajima ndivyo sivyo wanavyo dhani kuwa ni sahihi kwa upande wao. wanakuza mambo! ili Gwajima aukose Ubunge.

Wakatoliki ni waelewa sana kuliko Madhehebu yote, RC wote mpaka Vatican waliamini ''Pengo aliwaaibisha'' Papa kaona isiwe tabu aliruhusu serikali wamuachie Gwajima asibughudhiwe aheshimiwe, na pengo alistaafishwa kwa manufaa ya kanisa. yuko wapi leo umewahi kumsikia tena?

Kama Gwajima alitukana mbona pengo hakutia neno wala kujibu shutuma? hapa pengo alikubali maneno ya Gwajima kuwa yuko sahihi mpaka akasataafu km alivo agizwa na Gwajima. nam nukuu ''ondoka mzee! kalale zako mzee, umechoka mzee.... na kweli kalala mpaka saa hii amelala. km hajalala nampa saa 5 anijibu hapa..
Watu mnaandika uongo sana. Pengo hakustaafishwa, Pengo alifikia umri halali wa kustaafu madaraka yake kama Askofu mkuu wa Dar. Si yeye tu hata Askofu wa Arusha na Sumbawanga nao wamestaafu kipindi hicho hicho.
 
Ni ili aendeleze juhudi za JPM kwa kumchagua Tz itazidi kupaa kiuchumi
 
Halima Mdee hana kazi kubwa ya kufanya, anachotakiwa kufanya ni kuchukua TV screen kubwa na kuweka video ya Gwajima akifufua mtu, kisha kuwauliza wapiga kura je mnamuunga mkono muongo na Tapeli huyu kuwa kiongozi wenu?

Watu watasema hapana!

Kisha anamwaga sera zake, anafunga mkutano na kusepa. Ushindi ni asubuhi na mapema tu!
Na ile video jamaa alosema ubunge ni cheo kidogo sana. Pia katika imani yetu ya Kikristo, nafasi ya Uchungaji tena Askofu, huwezi hata kutamani kazi ya siasa. Huwezi kabisa.

Huyu jamaa sijui anamtumikia Mungu yupi, mara kashfa za Flora Mbasha, mara madawa ya kulevya n.k
 
Halima Mdee hana kazi kubwa ya kufanya, anachotakiwa kufanya ni kuchukua TV screen kubwa na kuweka video ya Gwajima akifufua mtu, kisha kuwauliza wapiga kura je mnamuunga mkono muongo na Tapeli huyu kuwa kiongozi wenu?

Watu watasema hapana!

Kisha anamwaga sera zake, anafunga mkutano na kusepa. Ushindi ni asubuhi na mapema tu!
Na ile video nyingine pia asihofu kuiweka ili watu wamwelewe mgombea huyo kabla hawajaingia mkenge
 
Wewe siyo mkatoliki, na kama ni mkatoliki basi ukatoliki wako brain washed.

Mimi ni mkatoliki, na wakatoliki wote wenye kufahamu mazambi na usaliti wa Kadinari Pengo kwa wakristo wa madhehebu yote ni kukiuka makubaliano waliyokubaliana maaskofu wa madhehebu yote kuhusu msimamo wa kanisa kutokubaliana na mahakama ya kadhi.

Kama alivyo kibaraka sheikh mkuu wa Dar ndivyo alivyo kibaraka Pengo.

Nina mashaka na ukatoliki wako kama ufahamu ni kwa nini jimbo kuu la Dar Papa alimteuwa Ruwaichi kuwa Askofu mwandamizi kabla ya huyu Pengo kustaafu.

Wanaojuwa protocol ya kanisa katoliki wanajuwa hapa naandika nini, ingekuwa ni serikali za kawaida Pengo angestaafishwa kwa manufaa ya umma, ila kwa mfumo wa Vatican ili kukustiri unaletewa Askofu mwandamizi na madaraka yote muhimu unakabidhi kwake. Endover powers.

Kwa kifupi point yangu kwa hili Wakatoliki na wakristo wote tulikuwa nyuma ya Gwajima na mpaka kesho namuunga mkono kwa hili, huyu ndio Mtanzania pekee aliyethubutu kumvaa Pengo na kumpa makavu live bila kupepesa.

Baada ya kifo cha Mkapa mtu pekee ambaye anaweza kumwambia kitu Magufuli na akasikiliza na kutekeleza ni Pengo peke yake.

Lisu ni Mkatoliki na Magufuli ni Mkatoliki aliwahi kuwapatanisha kupitia ushawishi wake?

Ninachofurahi mimi ccm ndio waasisi wa siasa za kidini, imekuwa ikiwaumiza wapinzani kwa kuwatumia viongozi uchwara wa dini, this time nao waonje radha ya udini.
Pengo alisema tangu 2014 kuwa amebakiza miaka 5 kustaafu na kuteuliwa Ruwai'chi ni utaratibu wa kawaida wa kurithisha madaraka kikanisa hata Pengo mwenyewe kabla ya kuchukua madaraka Dar alianza kama mwandamizi mwaka 90.
 
Na ile video jamaa alosema ubunge ni cheo kidogo sana. Pia katika imani yetu ya Kikristo, nafasi ya Uchungaji tena Askofu, huwezi hata kutamani kazi ya siasa. Huwezi kabisa.

Huyu jamaa sijui anamtumikia Mungu yupi, mara kashfa za Flora Mbasha, mara madawa ya kulevya n.k
Kifupi Gwajima kalazimishwa kuingia CCM na kalazimishwa kugombea jimbo la Kawe, hata ile video ilikuwa na lengo la kumfanya akubaliane na matakwa yao maana alikuwa mgumu na misimamo yake..na jamaa walikuwa na part two and three alipokubali tu kuunga mkono juhudi kesho yake akashafishwa.

Kama mnakumbuka aliitwa aende kureport polisi na baadae wakageuka kuwa hana hatia

Angeendelea kuwa mbishi angeburuzwa mahakamani kama kina Wema na Amba Ruthy na ingekuwa kashfa kubwa sana kwa kiongozi wa dini tena ya kiroho kuburuzwa mahakamani kwa video za ngono.

Hapo ndo walipompata Gwajiboy na maisha yake yote ataitumikia CCM.
 
Back
Top Bottom