Mpaka sasa pande zote mbili, kichanjwa na kutokuchanjwa, woote hakuna mshindi!!
Kwa hiyo usimseme yeyote kwa lolote, Ukisha chanja, kaa kimya maana hujui itakuwaje baada ya miaka miwili au mitatu ijayo
Halafu, ikiwa chanjo zilizoletwa ni m.moja tu, na waliochanjwa kwa mjibu wa kitengo, watu kama laki moja tu na ya waiochanjwa,
Sasa ikiwa, Watu laki moja wanachanjwa kwa wiki nzima, chukia idadi ya watanzania m 60000000 ÷ 100000 × 7 = na siku 420000
Ambapo unachukua siku 420000 ÷ 365= na miaka 11+ ndipo xoezi la kuchanja litamamlizika
Sasa mbona tunalaumiana bhana?
Mimi nitakuwa wa mwisho kuchanja, kwa hiyo ninamiaka 10 na nikisubili zamu yangu ya kuchanja
Kwa hiyo usimseme yeyote kwa lolote, Ukisha chanja, kaa kimya maana hujui itakuwaje baada ya miaka miwili au mitatu ijayo
Halafu, ikiwa chanjo zilizoletwa ni m.moja tu, na waliochanjwa kwa mjibu wa kitengo, watu kama laki moja tu na ya waiochanjwa,
Sasa ikiwa, Watu laki moja wanachanjwa kwa wiki nzima, chukia idadi ya watanzania m 60000000 ÷ 100000 × 7 = na siku 420000
Ambapo unachukua siku 420000 ÷ 365= na miaka 11+ ndipo xoezi la kuchanja litamamlizika
Sasa mbona tunalaumiana bhana?
Mimi nitakuwa wa mwisho kuchanja, kwa hiyo ninamiaka 10 na nikisubili zamu yangu ya kuchanja