Sijui kama nina wivu uliopitiliza lakini wanaume tuliooa unamwachaje mke wako atoke nje na vimini ama suruali / taiti zinazombana?

Inasikitisha sana
 
B4o si kweli..hao wanapigika balaa..kitakachokushibda kuwapiga hao labda tu uwe umeweka dau dogo..hizo ni mali za Umma
 
Kwahiyo wavaa magauni ni maharage ya mbeya??
 
MWANAUME TAFUTA HELA ZALISHA MWANAMKE, HAKIKISHA UMEACHA KIZAZI ALAFU JIJENGE KIUCHUMI, MAMBO YA WANAWAKE NA NDOA UKIENDEKEZA UTAPATA PRESHA,KISUKARI NA MENGINEYO.
SHIDA WANAUME TUNAKAZA SANA MAFUVU ETI KISA WE MWANAUME.

KATAAAAAAAAA NDOAAAAAAAAA!!
 
Mbona unahasira kama umegongewa na bodaboda....nimesema kama anatamaa zake ndio inaweza kuwa ticket ya kugongwa. Ila sio kisa kavaa hivo ndo ujichanganye eti anataka kugongwa,utaumbuka
Wanaume wakati mwingine mnajichanganya sana. Yani ukiona mwanamke yeyote kavaa kimini ndo ujue anajiuza, wapo wanaovaa kwasababu wanapenda kuvaa hivo. Na haina uhusiano wowote na tabia zake.
 
Hao uliowapost hapa hakuna aliyeolewa mkuu, hao ni magume gume ya mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…