Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Dalili ya mvua ni mawingu
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Unatamani PM atoke Zanzibar. Yote yanawezekana!!
 
Kutunza na kulea waziri mkuu mstaafu ni gharama kubwa kwa nchi. Heri aendelee tu mpaka 2030 Wakamalize na Mama ili kuepuka gharama
Gharama kubwa si ya kifedha, gharama kubwa ni kuwaacha loose magwiji wengi wanaofahamu siri za nchi ushawishi na nguvu
Mawaziri wakuu, Ma TISS nk ambao ni rahisi ku gang up na kufanya uhuni kama wa Niger na Gabon

Tangu Samia anashika nchi body language ya Majaliwa siyo Ile ya wakati wa JPM. Amekuwa mdogo sana. Kuna uwezekano wakati wa JPM. Maja alimua under rate Samia
 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Mungu akubariki sana,ww ni great thinker kwelikweli!!
 
Back
Top Bottom