Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Bibi kizee na ulozi wake kumtabiria waziri mkuu wetu majanga yampate
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Mnamtengenezea zengwe kwa vile amejitenga na uovu wenu wa kuingia mikataba ya ovyo. Na hilo zengwe lililopo jikoni hachomoki,wabaya sana nyie.
FB_IMG_1616545580714.jpg
tapatalk_1575089448362.jpg
 
Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
hapwayi.. Katika lipi? Sasa hivi issue zimewekwa kwa mawaziri.. Na wao wanaweza mpigia simu mama moja kwa moja .. Lazima waziri mkuu atakuwa hana cha kufanya.. Na inasononesha... Hata akija nani atakumbwa na hali hiyo... Mwinyi alitumia sytle hiyo kutawala, Kikwete na sasa Mama.... Katelephone ni mhanga tu ..
 
Hawaelewani na mama. Mama anamhisi vibaya kuhusu 2025, amemgombanisha na mawaziri wote wanamdharau. Anamfanyia manyanyaso sana.
Kwani wapi imeandikwa maza lazima agombee?
 
hapwayi.. Katika lipi? Sasa hivi issue zimewekwa kwa mawaziri.. Na wao wanaweza mpigia simu mama moja kwa moja .. Lazima waziri mkuu atakuwa hana cha kufanya.. Na inasononesha... Hata akija nani atakumbwa na hali hiyo... Mwinyi alitumia sytle hiyo kutawala, Kikwete na sasa Mama.... Katelephone ni mhanga tu ..
Na hasa aliponyang'anywa TAMISEMI, katika huu mfumo ambao rais anaweza kutokea zanzibar waziri mkuu alitakiwa kuwa na full mandate kuunda na kuendesha serikali. Maana hicho kinachoitwa serikali ya muungano essentially ni serikali ya Tanganyika. Kwa maana nyingine mzanzibari anaongoza serikali ya Tanganyika jambo ambalo linatia ukakasi.​
 
J
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Jpm hajawahi kuwa rais imara sema alikuwa muuaji imara hapo nakuelewa. Yule alikuwa ruler na siyo leader.
 
Na hasa aliponyang'anywa TAMISEMI, katika huu mfumo ambao rais anaweza kutokea zanzibar waziri mkuu alitakiwa kuwa na full mandate kuunda na kuendesha serikali. Maana hicho kinachoitwa serikali ya muungano essentially ni serikali ya Tanganyika. Kwa maana nyingine mzanzibari anaongoza serikali ya Tanganyika jambo ambalo linatia ukakasi.​
Point .... Unakakasi sana kipindi hiki... Umeiona vizuri kabisa
 
Kuwa na hisia ni haki yako mleta mada, ila hilo linaweza lisitokee pia. Ni maoni yangu tu!
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Huenda moyoni anaumia jinsi mama anavyoendesha nchi.😂🤣
 
wanawaoa kiserikali lakini kidini hawatambuliki
Kwa sababu dini ni swala la mwanaume, mwanamke yeye atabadilisha dini kufuata ya mumewe na wataenda kufunga ndoa kanisani......inakuwa imeisha hiyo.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Hajawahi kutosha,
Hatoshi,
Na hatatosha.
Period!
 
Back
Top Bottom