Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Aliwafokea wizara ya fedha walioteketeza mapesa wakati serikali ikiwa kwenye mei mosi hakupata sapoti toka kwa bosi.Inaweza kuwa yeye anahisi hivyo.
Nafikiri alikuwa bado hajajua anaongoza awamu ya aina gani, tangu hapo namuona hafurahishwi na mwenendo, anajilazimisha upole na hulka yake ukali