Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Inaweza kuwa yeye anahisi hivyo.
Aliwafokea wizara ya fedha walioteketeza mapesa wakati serikali ikiwa kwenye mei mosi hakupata sapoti toka kwa bosi.

Nafikiri alikuwa bado hajajua anaongoza awamu ya aina gani, tangu hapo namuona hafurahishwi na mwenendo, anajilazimisha upole na hulka yake ukali
 
Unamuona Majaliwa kapoa sababu hajasimama kutetea upumbavu wenu wa kuuza bandari kwa waraabu?
 
Halafu nani ataenda kutatua migogoro ya jamii.

Umfuatilii kila mgogoro ambao mawaziri wakishindwa yeye ndio anatumwa kusawazisha.

Ule wa Kariakoo ulikuwa mjini tu, kuna mingine mingi maji yakifika shingoni serikalini anarushwa yeye sema aina airtime vile za media. Ila huko kwenye mgogoro ni tatizo.

Tatizo wa chawa wa mama mnadhani kuendesha nchi ni kazi rahisi sana. Solution yenu ya kila tatizo huwa ni maskini waliongopewa na Magufuli hao awajui kitu. Wananchi washaanza kuisusa mikutano ya CCM.

[emoji2284]
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Mjadala wa bandari nafasi yaķe ilichukuliws na Dk Mwekiti
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.

Kassim yupo yupo sana.

Tusubiri.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Thubutuuu! Hakuna wa kumgusa Majaliwa. Majaliwa is there to stay. Hii nchi siyo nyumba ya mtu.
 
Majaliwa hana muda na media anafanya kazi nyingi anatumwa na rais.
 
Serikali ya bongo inakiki kama wasanii wa bongo kila siku story haziishi.
 
Izi story tumeziskia muda sana alafu bado hatoki muda wake umebaki kidogo akimaliza hii kumi tu itakua imetosha.
 
Thubutuuu! Hakuna wa kumgusa Majaliwa. Majaliwa is there to stay. Hii nchi siyo nyumba ya mtu.
Nani aliyesema atamgusa? Umesoma kilichoandikwa au umekurupuka usingizini?

Unaota? Au tayari weekend imeanza?
 
Izi story tumeziskia muda sana alafu bado hatoki muda wake umebaki kidogo akimaliza hii kumi tu itakua imetosha.
Sijawahi kuzisikia.

Kwa kuwa yupo bado basi ni kwa ajili Boss wake, Mama Samia, anaona bado anahitaji awepo, siyo kwa kingine chochote.

Amechoka sana (exhausted).
 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Huyu mama siyo weak tu, ni majuma kabisa 😂
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.

Magufuli was tough, kwa hiyo alikuwa kazi yake kusikiliza na kutenda, kwa sasa ni rahisi kuoneka kupwaya maana creativity yake na uwezo wa ku lead, kumshauri rais na kusimamia lazima uonekane
 
Back
Top Bottom