Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Natamani iwe hivyo. Wanapwaya sana.

Mwigulu hana kabisa ethics, sasa hivi anatowa hotuba huku anavuta makamasi yake kooni, yanasikika kwenye tv. Hili jitu halina kabisa oersonality ya kuwa waziri.
Zamani ulifanikiwa kunidanganya. Niliamini kuwa unafahamu vizuri Kiswahili, kumbe sivyo.

Unafanya makosa mengi katika lugha.

Siyo 'kutowa', ni 'kutoa'.
 
Shida ni kwamba anashabikia Simba, washabiki wa Simba ni ....
 
Siyo yeye pekee aliyepwaya, bali Serikali nzima imepwaya sana.

Serikali makini unafikiri ingewezekana vipi kupeleka ule mkataba wa kishenzi bungeni? Maana kitu kama kile kinajadiliwa kwanza ndani ya management ya bandari. Kinajadiliwa kati ya management ya bandari na waziri na katibu mkuu, kisha kati ya waziri na Rais, mwishowe ndani ya baraza la mawaziri, ndiyo inapelekwa huko Bungeni.

Sasa huko kote unapita, hakuna anayeshtuka kuwa kilichosainiwa hakikidhi hata basic requirements za mkataba. Hapo si inamaanisha Serikali nzima ina matatizo?
Mkataba ni mwema sana ule kwa wenye kuelewa maana ya biashara za bandari.

Huwezi kuendesha biashara ya bandari yenye mafanikio duniani sasa hivi kama hauna chain ya biashara hiyo.

Wengi wenu mnaiuoinga mkataba wa awali wa IGA nawaona kuwa hamuelewi huo mkataba ulivyo.

Wewe tatizo lako ninii kwenye ule mkataba uliojadiliwa bungeni?

Naona majaliwa mpaka sasa hanjasema lolote kuhusu huo mkataba na yeye ndiye PM. Au alikuwa na uhusiano Na TICTS?
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Mwisho wa Majaliwa inasemekana ni mwaka huu, ameshajua na ameshajiandaa, tatizo hajui atatolewa kwa gear ipi. Inaweza kuwa gear ya kiuungwana au fedheha.

Kwa sasa Majaliwa anateseka sana kisaikolojia, hana raha na hajui nini kitafuata.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.

Hilo jizi la kura hata likipigwa chini ni poa tu.
 
Mwisho wa Majaliwa inasemekana ni mwaka huu, ameshajua na ameshajiandaa, tatizo hajui atatolewa kwa gear ipi. Inaweza kuwa gear ya kiuungwana au fedheha.

Kwa sasa Majaliwa anateseka sana kisaikolojia, hana raha na hajui nini kitafuata.
Majaliwa ni Decent PM this country has ever had so far, leave aside the likes of Msuya..Malecela..Warioba..

He is the Next. Heshima hii lazima tumpe. No matter what, maana nyinyi maccm hampendani.

Ila Majaliwa deserves the green light as the best leader.

Undeni zengwe, ila mtaumbuka.
 
Wewe kibibi umetumwa kuleta ramli chonganishi? muondoeni tu ili mwendelee na dili lenu la kupiga bandari mnada.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
mama sa100 shikamoo! lakini sisi hatuna amani mioyo yetu na DP world
 
Wewe kibibi umetumwa kuleta ramli chonganishi? muondoeni tu ili mwendelee na dili lenu la kupiga bandari mnada.
Kasome post namba moja. Nimetumwa na nafsi yangu.
 
Tigo wanatumaga meseji kuuuliza waziri mkuu ni nani ?
CCM mnaviziana muda wote.
Tunasubiri execution.
 
Hiyo mbona Kiislam ruksa.

Mwanamke wa Kiislam ndiyo haolewi na asiye Muislam.
Hii umeitoa wapi? mwanamke anaolewa upande wowote ule kwa sababu dini ni swala la mwanaume na siyo mwanamke.
 
Tigo wanatumaga meseji kuuuliza waziri mkuu ni nani ?
CCM mnaviziana muda wote.
Tunasubiri execution.
Hakuna kitu kama hicho.

Labda haja recover kjtoka kifo cha rafiki yake toka ujana wao au ana mengine ambayo yanamfanya abadilike.

Lolote lile, kwa upande wangu namuona hayupo sawa.
 
Back
Top Bottom