Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mnaanzaga hivyo hivyo
Dunia hii.....!
Tambala bovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaanzaga hivyo hivyo
Dunia hii.....!
Sema mshamfanya aishi kimashaka kama digidigi mana hata kuongea haongei siku hizi.Hakuna kitu kama hicho.
Labda haja recover kjtoka kifo cha rafiki yake toka ujana wao au ana mengine ambayo yanamfanya abadilike.
Lolote lile, kwa upande wangu namuona hayupo sawa.
Sio kwamba anapwaya bali mfumo wetu ndio mbovu waziri mkuu hana mahamuzi, mahazi mengi yako kwa Rais, nakaribia yote anayofanya yanakuwa ni maelekezo kwa ufupi hana tofauti sana na mawaziri wa kawaida.Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Dead man walking, just a matter of time ☹️😟😢😥Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Wanapima upepo😆Mnaanzaga hivyo hivyo
Dunia hii.....!
Sidhani kama anapwaya ni neno la heshima kwa mtu ambaye alishaonyesha uwezo wake kabla. Namtakia kila la kheir, amalize nngwe salama.Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Rais akiruhusu mijadala huru huwa anaitwa DhaifuKwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.
kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.
Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.
Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.
MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Soma tena message ya Faiza, yuko sahihi kwa mujibu wa dini ya kiislamu.Hii umeitoa wapi? mwanamke anaolewa upande wowote ule kwa sababu dini ni swala la mwanaume na siyo mwanamke.
I third her Mama Mdogo!I second you mama mdogo
Na kweli amesanuka!Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Overqualified.Ni utawala (administration) aina tofauti.
Nipe neno mbadala la "anapwaya".
Ikiwa ni mlamba asaliSiamini hilo.
Hutaamini kama nawe ni mnufaika wa madudu yanayoendeleaSijakuelewa.