Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hakuna kitu kama hicho.

Labda haja recover kjtoka kifo cha rafiki yake toka ujana wao au ana mengine ambayo yanamfanya abadilike.

Lolote lile, kwa upande wangu namuona hayupo sawa.
Sema mshamfanya aishi kimashaka kama digidigi mana hata kuongea haongei siku hizi.
 
Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Sio kwamba anapwaya bali mfumo wetu ndio mbovu waziri mkuu hana mahamuzi, mahazi mengi yako kwa Rais, nakaribia yote anayofanya yanakuwa ni maelekezo kwa ufupi hana tofauti sana na mawaziri wa kawaida.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Dead man walking, just a matter of time ☹️😟😢😥
 
Majaliwa anafaa sana kuongoza Taifa hili huyu mzee, ana u Jpm mwingi sana ndani ake
 
Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Sidhani kama anapwaya ni neno la heshima kwa mtu ambaye alishaonyesha uwezo wake kabla. Namtakia kila la kheir, amalize nngwe salama.
 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Rais akiruhusu mijadala huru huwa anaitwa Dhaifu
 
Sidhani kama anapwaya ni neno la heshima kwa mtu ambaye alishaonyesha uwezo wake kabla. Namtakia kila la kheir, amalize nngwe salama.
Ni utawala (administration) aina tofauti.

Nipe neno mbadala la "anapwaya".
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Na kweli amesanuka!

We Bibi kifimbo cheza una mambo SANA!!
 
Ila hata yeye anajua hili. Yuko tofauti sana na wapigaji wa utawala huu, lazima wanamlia timing tu.
 
Back
Top Bottom