Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
Tatizo lako ni kuchanganya CCM hawa wa leo na wale TANU wa 1961, na CCM ya wakati huo.
Naona hii historia imekupita pembeni.

Kwa mengine yote ninakubaliana na wewe, kasoro hicho kizungu ulichomalizia nacho.
 
Hili jambo nimelisikia mara kadhaa, ingawa mapendekezo ya kumfanya KoBite kuwa mbadala wake ndiyo sijamuelewa Mama.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Leo Kwa mara ya Kwanza katika Miaka yangu 12 JF nimefurahia uzi wako

PM Mfumo umemshinda anaona maruerue
 
ndio Mama
Zipo nyuzi mbili tstu nimefunguwa kuhusu DP World 👇🏾

 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Umemaliza Kila kitu Uzi huu ufungwe
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Ni kweli ni mtu aliyepoteza furaha, amani na kujiamini ile sauti ya mamlaka aliyokuwa nayo Sasa imepotea, ni mtu ambaye kwa sasa hata wakati wa kuongea uso wake unaonyesha una kitu kisicho cha kawaida.
 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Ukweli mchungu🤔ogopa sana kupata boss weak na incompetent kukuliko,utajuta,utatamani kuacha kazi,mie ilinikuta sehemu nikaomba uhamisho wa hiari.
 
Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Siyo yeye pekee aliyepwaya, bali Serikali nzima imepwaya sana.

Serikali makini unafikiri ingewezekana vipi kupeleka ule mkataba wa kishenzi bungeni? Maana kitu kama kile kinajadiliwa kwanza ndani ya management ya bandari. Kinajadiliwa kati ya management ya bandari na waziri na katibu mkuu, kisha kati ya waziri na Rais, mwishowe ndani ya baraza la mawaziri, ndiyo inapelekwa huko Bungeni.

Sasa huko kote unapita, hakuna anayeshtuka kuwa kilichosainiwa hakikidhi hata basic requirements za mkataba. Hapo si inamaanisha Serikali nzima ina matatizo?
 
Back
Top Bottom