Zile fedha zinazolalamikiwa kupigwa kwenye baadhi ya maeneo na kwa mwezi mmoja tu, zinao uwezo wa kumtunza Waziri Mkuu Mstaafu hata kwa miaka 50!Kutunza na kulea waziri mkuu mstaafu ni gharama kubwa kwa nchi. Heri aendelee tu mpaka 2030 Wakamalize na Mama ili kuepuka gharama
Dalili ya mvua ni mawinguHisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Unatamani PM atoke Zanzibar. Yote yanawezekana!!Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Kwakweli mzee Mpango na mkewe Mama Mbonimpaye wapangiwe kazi nyingine. Hamna kitu pale tulipigwa kekundu.Majaliwa anaandaliwa kuwa Makamu wa Rais 2025....
Mipango atapangiwa Majukumu mengine...
Tummuondoe kwanza kibwengo mkuu ndo chanzo cha haya yoteHata akiondolewa haitasaidia kitu sana sana ni kuongeza gharama kwa wananchi kuanza kumtuza Waziri Mkuu mstaafu, mfumo mbovu cheo cha PM hakina maana yoyote maana naye anasubiri tu maelekezo toka kwa Rais
KweliTummuondoe kwanza kibwengo mkuu ndo chanzo cha haya yote
Ni mtaji wa 2025 baada ya hapo anatupwa njeLengo ni kuweka Waziri Mkuu Msukuma ili kuchota huruma ya Wasukuma.
Gharama kubwa si ya kifedha, gharama kubwa ni kuwaacha loose magwiji wengi wanaofahamu siri za nchi ushawishi na nguvuKutunza na kulea waziri mkuu mstaafu ni gharama kubwa kwa nchi. Heri aendelee tu mpaka 2030 Wakamalize na Mama ili kuepuka gharama
okUsijali nayarebisha yote. Nafahamu kufanya editing.
Shule nilizosoma hazikusomesha ujimga, bahati nzuri kuandika Kiswahili nimejifunzia hapa JF. Shule zetu za zamani Kiswahili lilikuwa somo moja tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Utamuweka nani? msituongezee gharama za kutunza wastaafu, mlipiga kelele Ndugai ajihuzulu matokeo ake ndiyo tumepata Spika wa hovyo kuliko hata shetani
Tulia mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Majaliwa anaandaliwa kuwa Makamu wa Rais 2025....
Mipango atapangiwa Majukumu mengine...
Huu uchawi unaelekea huko kutimia muda si mrefu... majaliwa ajitafakari mwenyewe, aepuke aibu...!!
ExactlyKwakweli mzee Mpango na mkewe Mama Mbonimpaye wapangiwe kazi nyingine. Hamna kitu pale tulipigwa kekundu.
Chuki yako kwa Kasim ni kubwa mno!Tunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Kweli Kassimu sijui alipataje UpmTunamuombea amalize salama, lakini nahisi anapwaya sana.
Mungu akubariki sana,ww ni great thinker kwelikweli!!Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.
kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.
Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.
Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.
MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.