Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Sijui kwanini anashindwa kufanya maamuzi ya kiume..

Majaaliwa anana wazi hatakiwi lakini ameuchuna.
Ingekuwa bora aondoke kwa amani tu ampe uhuru rais amuweke amtakaye.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Huyu FaizaFoxy ni kil.aza sana! Nadhani ni wale Gumbaru wa pwani!
Hajui chochote na Hawa ndo chawa walioshabikia uuzwaji wa Bandari zetu milele kwa Waarabu wa Dubai!!
Eti " analysing yangu' badala ya analysis yangu!
Waswahili wengine vichwa Nazi sana!!
 
Majaliwa angeondoka tu, uwezo aliopewa na JPM hana tena, he's a scapegoat, akionyesha makali wale CHAWA wanadai anamfunika MAMA, akikaa kimya au kusubiri maelekezo, ANAPWAYA!
It's lose lose situation.
Mama ndio ANAPWAYA, ila hatutaki kukubali
 
Majaliwa angeondoka tu, uwezo aliopewa na JPM hana tena, he's a scapegoat, akionyesha makali wale CHAWA wanadai anamfunika MAMA, akikaa kimya au kusubiri maelekezo, ANAPWAYA!
It's lose lose situation.
Mama ndio ANAPWAYA, ila hatutaki kukubali
Kwangu saa 100 ndio anapwaya tena sana......Majaliwa for presidency 2025
 
Hapana sina chuki. Anapwaya, ama kasi ya mama imemshinda ama anafanya kusudi.
Umetumwa kupima upepo uku ili akiondolewa watu wasipige kelele,ila ukweli ni kwamba ukiongelea Kasi,basi Majaliwa yuko na Kasi kuliko huyo unayemsemea/unayejisemea tena kwa mbali sana ila msingi mkuu wa hoja hii ni hofu ya 2025,Huyo mwingine kwakuwa anapwaya/anajijua so anaogopa isije Majaliwa akapita naye kwenye hicho kiti kwahiyo inatafutwa namna ya kumtoa,kikubwa kinachofanyika ni self defence tu
 
Majaliwa hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi kwasababu; anapenda sifa binafsi, ni mtu wa kujipedekeza, ana hasira sana na huenda ana visasi, anatumbua kushinda magufuli. Ikiwa magufuli alikuwa anatumbua majipu, yeye atatumbua matumbo na makoromeo hivyo ataumiza wengi bila huruma. Pia ni mtu wa kujionyeshaonyesha sana yaani kucheza na media kuliko uhalisia wa kazi anazozifanya.
Nadhani tungeifuta nafasi ya PM....Sumaye alitukanwa hadi akakomaa......Msuta huko nyuma akitukanwa sanaa pia kutulisha nyadi wanunue ndege y Rais na upendeleo mkoa wake etc....Lowasa wanasema jizi kubwa Ri chmonduli.....huyu nae anapwaya mama anaupiga mwingi khaaaa
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Mama ndie mtu pekee anaemtisha huko CCM. Na Mama kashapewa taarifa kuwa majaliwa anakubalika na wananchi kuliko yeye so wanamtafutia zengwe.
 
Mama ndie mtu pekee anaemtisha huko CCM. Na Mama kashapewa taarifa kuwa majaliwa anakubalika na wananchi kuliko yeye so wanamtafutia zengwe.
Mama hana roho za kijinga hizo.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Yeye alikuwa timu Mwendazake hivyo Imani yake kubwa ilikuwa awamu ya 5 Kwa Sasa haendani na siasa za mama Kwa hiyo kuondolewa ni sahihi.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Mimi naona vingine. Atabakia hadi bunge livunjwe 2025. Huyu alianzia chini na ghafla akawa waziri Mkuu na kufanya vyema. Kifo cha Magufuli, kwa maoni yangu, kikamvunja moyo kidogo. Ghafla huenda aliona anastahiki nambari moja, na sasa naona anajiandaa na hilo hivyo kupunguza kasi ya kazi kujitayarisha kwa marathon. Kwa ustaarabu wa mama, atakuwepo hadi ahitimishe ngwe 2025 halafu tusubirie sarakasi kuburudisha mbio za kupokezana vijiti. Nakumbuka mbio hizi skuli tukiziita rilee ila sijui ni kwa nini😂😂.

Wazee zamani wakituambia "kua uone mambo". Mambo yenyewe ndiyo hayo.
 
Back
Top Bottom