Nimeliona hilo mkuu, Nashukuru Mungu nimejifunza japo in a hard way, ila nitabadilisha namna ya kuwatazama na kudeal na watuNa hata kupigia nakuambia,Akipiga atakuja na excuse ya kitoto kweli.Ndivyo walivyo.
Atakuweka karibu akiwa na tatizo tena trust me.
Wewe ni daraja,Kuwa daraja ni kazi sana
Binafsi Nime deal na watu wa hivyo wengi mno.Nilipopata somo kwama mimi ni daraja nikaona.Ila nimepumguza huruma.Sababu mtu wa hivyo hata siku ukiwa na shida ya mia mbili hutaipata kwake.
Sio majivuno, kibinadamu kwa aliyotenda, iyo hali hutokea tuKwakua umeamua kumsaidia we msaidie Tu hayo malalamiko ni ishara ya majivuno
Ili upate amani ya moyo mpigie umweleze ukweli, vinginevyo samehe na kusahau.Kwakweli nimeona
Bro nishapigwa matukio mpk yesheeeeee sina huruma za bei rahisi hivyoHuruma isipungue bhana , unajua msaidie mtu kama umeguswa na anayo yapitia kwa kujipa amani yako ww mwenyewe kwa kuona angalau ule ugumu kwa huyo mtu umepungua , bila kuweka matarajio ya malipo ya aina yoyote kutoka kwa yule mtu , matarajio ndio yana waumiza watu pale yanapokwenda kinyume .
Asante kwa ushauri mzuri mkuukwanza nine jisikia faraja kusikia ume tenda wema.
kuhusu shukrani USI iwazie sana mkuu, binadamu Wana differ Sana huenda hakukuona Kama mtu wake wa karibu.
kingine uki kutana nae USI igize unafiki, just laugh a little Kisha tembea zako. Mana she doesn't deserve your attention again.
And last Nili jua ana hitaji counselling, Ninge Sema mlete tu🤓😂
Sawa nitafanya hivyo, Asante masai dadaUsimtafute tena kaa kimya
Bado hujanielewa na wewe, natafuta hoja yako ya kujifanya Mungu inatoka wapi kwenye incident hii, unafikiri kwa nini huyu ambae hakuwa na hela nae akaomba tena ndio akapata hela nyingi kuliko walikuwa nazo cash lkn wakatuma buku ten, huyu aliyekuwa hana akapata laki 2+ umeona uponyaji wa huyo mtoto umepatikana kwa aliyeenda kuomba,Ndo maana nasema bado hamjanielewa.
Mungu ndo anaweza saidia kila mtu, sio binadam mwenzake.
Huyo mtoto sio responsibility yake, ni responsibility ya mzazi ambae ni rafiki tu kwake. Kwa logic yako hapo juu basi aende hospital akasaidie wagonjwa wooote ambao wanaundugu na rafiki zake sasa
Bado hujanielewa. Narudia tena, mwenye uwezo wa kusaidia kila mtu ni Mungu, sio binadamu. Saidia unapoweza ukishindwa acha, wala sio dhambi, ni common sense, but common sense is not aways common
Hapana, bora ukaushe tuu. Kama hakuona umuhimu wa kukushukuru bc hakuna umuhimu wa ww kumpigia simu ili ety moyo wako utapata ahueni.Ngoja nifanye hivyo mkuu, Asante 🙏🙏
Kuna watu huwa na roho ya kutothamini watu Fulani harafu wanathamini watu wasio wathamini.Pole sana kwa yaliyokukuta....ubinadamu kazi!
Ila kwa jinsi nilivyosoma maelezo yako inaelekea kuna namna umemkwaza wakati unamsaidia(aidha kwa maneno au matendo), jitafakari.
Kwa mazingira ya kawaida hawezi kumshukuru aliyetoa elfu tano akakuacha wewe wa laki tatu.
Angeacha kushukuru wote ingeeleweka kwamba ni mtu asiyekuwa na shukurani.
Yani akiingia kwenye mfumo lazima afurahi😃😃😃Jumla unetumia kama laki 4 hivi.. ambayo ungekaa na familia yako hapo mle KUKU kila siku mngekula KUKU kwa takribani miez miwili.. kila siku ni KUKU tu.
Ah.. ktk swala la Fadhila... huwa sitegemei saana maana yashanikuta, na nikajifunza kuwa natoa hichi ki2 ili kisaidie tu na wala sihitaji any kind of feedback.
And, kizuri zaidi huwa naomba nikutane na watu kama huyo Dada hapo.. huwa ananirahisishia sana endapo baadae akirudi niweze kumchinjia baharini bila HURUMA yoyote ile... tofauti na yule uliyemsaidia na akaonesha positive feedback ya msaada wako, akirudi utapigana tena kumsaidia.. ila hawa wanaojitoa akili ndio wazuri.. akijikausha kama hivyo na ww unamsubiri tu aingie tena kwenye Mfumo.
Skia, huyo Mungu aliweka watu ili hao watu wawe msaada kwa watu wngn. Sasa ww kaa ndani na shida zako ukimuomba Mungu bila kutoka nje kwa watu uone kama huyu Mungu atakusaidiaNdo maana nasema bado hamjanielewa.
Mungu ndo anaweza saidia kila mtu, sio binadam mwenzake.
Huyo mtoto sio responsibility yake, ni responsibility ya mzazi ambae ni rafiki tu kwake. Kwa logic yako hapo juu basi aende hospital akasaidie wagonjwa wooote ambao wanaundugu na rafiki zake sasa
Bado hujanielewa. Narudia tena, mwenye uwezo wa kusaidia kila mtu ni Mungu, sio binadamu. Saidia unapoweza ukishindwa acha, wala sio dhambi, ni common sense, but common sense is not aways common
Kuna msemo una sema, am not here to live your expectations, neither you're here to live mine.Asante kwa ushauri mzuri mkuu