Sijui kwanini nimeumia hivi

Nimeliona hilo mkuu, Nashukuru Mungu nimejifunza japo in a hard way, ila nitabadilisha namna ya kuwatazama na kudeal na watu
 
Bro nishapigwa matukio mpk yesheeeeee sina huruma za bei rahisi hivyo
 
Asante kwa ushauri mzuri mkuu
 
Bado hujanielewa na wewe, natafuta hoja yako ya kujifanya Mungu inatoka wapi kwenye incident hii, unafikiri kwa nini huyu ambae hakuwa na hela nae akaomba tena ndio akapata hela nyingi kuliko walikuwa nazo cash lkn wakatuma buku ten, huyu aliyekuwa hana akapata laki 2+ umeona uponyaji wa huyo mtoto umepatikana kwa aliyeenda kuomba,
Wewe umetuambia ukiwa huna pesa usisaidie kwa kuwa utatafuta Umungu Mtu kitu ambacho ni sawa kwa baadhi ya matukio lkn sio hili.
Dunia ya ajabu sana hii, nikiwa na miaka kama 8 au 9 niliwahi kuokolewa kwenye hatari ya kufa na binti mmoja hapo mtaani kwetu aliyekuwa na upungufu wa akili (tahaira, sijui kama nimepatia) wenye utimamu wa akili wote walitoka nduki.
Hoja yako ya umungu mtu labda niielewe hivi usiende kukopa benk, vikoba, kwa mtu nk kwa ajili ya mtu aliyekuomba hela ya harusi yake.
 
Kiubinadamu inaumiza ila kuna uzi upo humu unahusu watu wema kwa nini Mungu huwachukua mapema kuliko hata muda ambao jamii/familia inavyowahitaji. Fact ambayo imeungwa mkono na wengi ni kwamba sifa, utukufu na shukrani wanazopata kutokana na huo wema unabeba sifa na utukufu wa Mungu. Hivyo Mungu anabeba hicho kiumbe chenu mnachokipa utukufu kuliko yeye ili awaonyeshe kuwa YEYE ni MKUU kuliko huyo.
Unapaswa ushukuru kwa alichokifanya ili wewe ubaki salama mikononi MWAKE.
 
Kuna watu huwa na roho ya kutothamini watu Fulani harafu wanathamini watu wasio wathamini.
 
Yani akiingia kwenye mfumo lazima afurahi😃😃😃
 
rafiki yangu usiumie hapo huja msaidia huyo rafiki yako... aliekuwa na shida ni huyo malaika...! ambae kupitia wewe amepata kupona...!

ambae nina amini ipo siku isiyo na jina atakuja kukushukuru... iwe kwa kutamka au kwa vitendo ila shukrani ya kumsaidia huyo mtoto utaipata.

na inawezekana muda sio mrefu ukapanda cheo au ukapata ajira nzuri zaidi ya hiyo unayo fanya lolote jema kubwa litakalo kutokea ujue ni sauti ya yule mtoto ulieokoa maisha yake.

wala usinung'unike... mtu akikufanya mjinga wewe mpuuzie...!​
 
Skia, huyo Mungu aliweka watu ili hao watu wawe msaada kwa watu wngn. Sasa ww kaa ndani na shida zako ukimuomba Mungu bila kutoka nje kwa watu uone kama huyu Mungu atakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…