Sijui kwanini nimeumia hivi

Pole ndo ukubwa huo mi siku hizi nimekuwa na roho mbaya baada ya kupigwa vitu vizito huko nyuma yani shida za mtu wa karibu sijui ndg au nani nani hazinigusi kabisaaa ndo ije kuwa classmate,
Sasa wewe siku zikikukuta? Unaona Kwa kuwa umezipata unadhani Umemaliza Safari?

Safari bado ndugu yangu ukipigiwa simu pokea.
 
Yaani nashindwa kueleza ninavyojiskia,, sihitaji anilipe chochote wala chochote ila tu nimeumia ndomana najishangaa kwanini inakua hivi hadi nashindwa kujizuia.. Hata sielewi naumia nini yani
Na hiyo miamala ameiweka kumkomoa Baba watoto ambaye hajatuma hata mia.

Baadhi ya wanawake ni wajinga sana.
 
Siku zote ishi kwa kusaidia bila kutegemea malipo yeyote. Iwe ya shukrani ama chochote.

Kwa sababu hata shukrani isingekuongezea chochote.
Nyinyi ndio huwa hamtoi msaada.......hamjui faida ya Shukrani.

Mungu mwenyewe anataka Tumshukuru na ana kila kitu.

Shukrani ni Ibada Ndugu.

Asiyeshukuru kwa kidogo hata kikubwa hawezi kushukuru.

Ni maneno ya Yesu mwenyewe
 
Binadamu wabaya lakini nnafikiri usingehangaika kumdanganya baba ili akupe 150k naona hapo ndio pabaya zaidi na itakuuma zaidi
Kama huna hata kuna shida gani sema sina au toa kiasi unachoweza
Binadamu wa leo wamekuwa na roho mbaya sana na washenzi haswa
Mtu anakuambia nina njaa unampa hela halafu unamkuta kalewa chakari

Yaani kila leo tunaona watu wa aina aina ila pole sana
Delete her number na akikusemesha mwambie nimekujua ulivyo mind your own business
 
Siku zote ishi kwa kusaidia bila kutegemea malipo yeyote. Iwe ya shukrani ama chochote.

Kwa sababu hata shukrani isingekuongezea chochote.
Kwa hiyo mkuu, tukio hilo mfano ndiyo ingelikuwa ni wewe umetendewa mema na mtu tena wakati ukiwa hauna kitu, hauwezi kusema hata ahsante kwa ajili tu ya kuenzi misemo ya wahenga waliosema 'tenda wema uende na usingojee shukrani'?

Mtoa mada kajieleza vizuri sana kuwa hakuhitaji chochote toka kwa muuguliwa bali ni simple ahsante ama taarifa tu ya siha ya mtoto na kuachiliwa kwao toka hospitali.
 
Tenda wema nenda zako.
 
Kwakweli, ila nimejifunza kitu japo in a hard way
 
Sasa mnaelewa kwa nini Mtu anakuwa Single Maza, sio kwa sababu K yake mbaya bali Tabia.

Mimi najua fika Single maza anakuwa single maza sababu ya Tabia zake.

Wenye Tabia nzuri hata kama ni single maza watoto wawili bado wanaolewa na kuishi vyema.
Kwakweli nimejua, Mungu tu atusaidie
 
Aseeeh polee sana dear, utakua sawa tyuuh.
Niko poa saizi kipenzi, comments za wanaJf zimenipa relief.. Halafu nimekuwekea micargo pants ulisema unakuja na hujajaπŸ˜‘πŸ˜‘
 
Huwa mnakuja kuwashutumu wanaume wanazalisha na kuwaacha wanawake (single moms)
Ukimuona mtu kazalishwa na hajaolewa. Usimlalamikie aliyemzalisha na kumuacha maana unaweza kuwa na mipango na mwanamke kumuoa ila kutokana na ujinga wake. Unamuacha tu
Yeah kuna baadhi ya tabia hazivumiliki walai, nimeamini
 
Napenda sana watu wa hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani mtu anakuwa amejikatia ticket mazima.

Pole sana Leejay49 kuna msemo unasema hivi; ukubwani ukianza kuinteract na watu ndio utajua ni kwakiasi gani wazazi wako walikulea vyema πŸ˜‚
Tatizo wengine roho mbaya hatuwezi hata tujifunze namna gani, ndio hapo tunaishia kuumia tu..
Asante mpenzi binti kiziwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…