Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anajumlisha Wanawake wote 🤣🤣Mimi nilisema lini jamani au ndo samaki mmoja akioza🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa ukioa demu mkali siku akikuchoka hadai pasu kwa pasu?Ili siku akikuchoka mgawane mali pasu kwa pasu! Wakati yeye alichangia vikombe tu!! [emoji23]
Kweli tena (walahi)[emoji23][emoji23][emoji23] Wacha zako buana
Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Mzee ulishazigegedua mbili tatu nini humu[emoji23]kwa mbususu gani walizo nazo ? mbususu ina vipere Kama chura
We umejuaje kuwa hana hivyo vitu?Huna pesa ,huna muonekano mzuri ,huna maarifa kichwani ,watakupendea nini sasa?
tupeane michongo ya ngawira mkuuTafuta mbori broo, mimi Kuna kipindi hata hao wa kawaida nilikuwa siwapati, nilipokaa vizuri financially basi wakija ofisini ni full kujigonga na mimi Sina Hiyana ni mwendo wa kuwatafuna tu.
Shida sio wewe shida ni pesa hazijaingia nfukoni za kutosha kuweza kumhudumiaMi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Viwango vyangu hivi hapa
Vyombo unavyo lakini? Maana sumaku ya kwanza ni utanashati ila pia uambatane na nguvu za kiume za kweli ambazo ni mapene tu mzee mwenzangu😅 kama mipunga huna jiandae kutubu tu na kuona dunia haikutendei haki!Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Nina mashine kubwa....Huna pesa ,huna muonekano mzuri ,huna maarifa kichwani ,watakupendea nini sasa?
Swali zuri sana. 🙏🙏🙏🙏🙏We umejuaje kuwa hana hivyo vitu?