Sijui kwanini sipendwi na mademu wakali

Sijui kwanini sipendwi na mademu wakali

Ili siku akikuchoka mgawane mali pasu kwa pasu! Wakati yeye alichangia vikombe tu!! [emoji23]
Kwa ukioa demu mkali siku akikuchoka hadai pasu kwa pasu?

Bora demu mwenye akili ya maisha hata mkigawana, sio mbaya sababu ana mchango wake ktk hizomali.Sasa demu mkali ila hana akili za maisha, mkipigana chini hapo hamgawani bali wewe ndiye unamgawia mali zako.
 
Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?

Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.

Huna pesa ,huna muonekano mzuri ,huna maarifa kichwani ,watakupendea nini sasa?
 
Dah ni raha sana kuwa nao ila wanaweza badilisha mindset yako. Last 6 months nimetoka kuwa na wasichana watatu mmoja 7/10, mwingine 8/10 na wa mwisho 9/10 kwa urembo. Baada ya hao nikakinai kabisa wasichana wa kawaida. Kuna du mmoja alikuja na home kabisa nikampotezea kumla akanipigia kupanga date tena nikazingua nikaona siwezi kurudi nyuma.

Nilivyoachana rasmi na huyo wa 9/10 few days later nikala demu wa kawaida mwingine alijileta ila I dont feel attraction to her ni strategy to ya kumove on. Leo hii tu ma ex wangu wawili wa kawaida wamenicheki mmoja amesema kabisa anajaribu kunisahau hawezi nimemblue tick. Hapa nilipo sina hata hamu nao nawaza tu kupanga connection za kupata mademu wakali.
 
Tafuta mbori broo, mimi Kuna kipindi hata hao wa kawaida nilikuwa siwapati, nilipokaa vizuri financially basi wakija ofisini ni full kujigonga na mimi Sina Hiyana ni mwendo wa kuwatafuna tu.
 
mwanaume hasubiri kupendwa bruh,we tafuta pisi kali mwaga swagg ,akikutolea nje check na nyingine .sema uwe sasa na hata kapesa kidogo tu cha kuzugia mkuu.
 
Tafuta mbori broo, mimi Kuna kipindi hata hao wa kawaida nilikuwa siwapati, nilipokaa vizuri financially basi wakija ofisini ni full kujigonga na mimi Sina Hiyana ni mwendo wa kuwatafuna tu.
tupeane michongo ya ngawira mkuu
 
Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?

Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Shida sio wewe shida ni pesa hazijaingia nfukoni za kutosha kuweza kumhudumia
 
Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?

Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Vyombo unavyo lakini? Maana sumaku ya kwanza ni utanashati ila pia uambatane na nguvu za kiume za kweli ambazo ni mapene tu mzee mwenzangu😅 kama mipunga huna jiandae kutubu tu na kuona dunia haikutendei haki!
 
Mi nasukuma na ndinga lkn sili watoto wakali dah ila mi nae mbahili sana natongoza hawa gest za 7000 nae ale buku 5000 kula kwao manina
 
Back
Top Bottom