Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Hata hivyo kupedwa bahati soon naanzisha chama cha wasiopendwa (CCW)Kweli tena (walahi)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo kupedwa bahati soon naanzisha chama cha wasiopendwa (CCW)Kweli tena (walahi)
Mademu Wazuri invoice zao ni kubwa Sana,Mimi nishaombwa laki 480,000
Sheria ili upendwe na madem wakal ni hizMi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Eeeh tena[emoji16][emoji16]haya mkuuHata hivyo kupedwa bahati soon naanzisha chama cha wasiopendwa (CCW)
Karibu ujiungeEeeh tena[emoji16][emoji16]haya mkuu
Me mwenzio napendwa, nadekezwaKaribu ujiunge
Mbona haya ni maneno yakumkatisha mwenzako tamaaNdiyo fungu lako Hilo usifosi
Hataaa ...ndiyo ukweli huoMbona haya ni maneno yakumkatisha mwenzako tamaa
Wenye mashine huwa hawajisemiNina mashine kubwa....
Njoo nikuoneshe sasa... Maana pengine kwa ulivyozoea ukaona kawaida...Wenye mashine huwa hawajisemi
Sio kweli. Lemi ongala alikuwa na pesa mbona hakupata PISI kaliEla unazo?
Ujue mahusiano Ni gharama mkuu?
Siku zote nimekuwa nikikutusi, ila leo nikuambie tu kuwa: huenda umefungwa kichawi, fuatilia hilo mkuu.Sio kweli. Lemi ongala alikuwa na pesa mbona hakupata PISI kali
Acha kumiiza kichwa sababu ya zinaa ndugu.Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Inaonekana hufahamu kuwa Remy Ongala alioa Mzungu.Sio kweli. Lemi ongala alikuwa na pesa mbona hakupata PISI kali