Amnyimae punda mbaazi?................Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Tamko utampa au?BRO unaweza kumfanya demu wa kawaida akawa mkali , mveshe vizur, mpendezeshe na nywele nzuri marafiki Zako nao watamtamani
Alioa mzungu lakini sio pisi kali.Inaonekana hufahamu kuwa Remy Ongala alioa Mzungu.
Duhh! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo nikuoneshe sasa... Maana pengine kwa ulivyozoea ukaona kawaida...
Kama hana tako na hips hapo inakuaje ndugu yanguBRO unaweza kumfanya demu wa kawaida akawa mkali , mveshe vizur, mpendezeshe na nywele nzuri marafiki Zako nao watamtamani
Ooh! kumbe suala ni pisi kali @ sura ya kutokea @ sura ya maonesho nilikuwa sijaelewa vizuri! Lakini kumbuka pisi kali nyingi ni pasua kichwa.Alioa mzungu lakini sio pisi kali.
Nadhani mzee aliliiona hilo akaona aoe pisi ya kawaida.Ooh! kumbe suala ni pisi kali @ sura ya kutokea @ sura ya maonesho nilijuwa sijaelewa vizuri! Lakini kumbuka pisi kali nyingi ni pasua kichwa.