Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
 
Don't expect damn Fools like Accumen Mo and incharge to grasp what I actually wrote and what you commented here.
Pale washamba mnapokutana ,wew kijana hakuna kitu kinatutisha na udogo tu wa maarifa yako dhidi ya Miungu yako hao wazungu.

Nothing will happen nor scary, it's just your limited thinking capacity .

Kama unabisha katangazeni vita vya hadharani sio mipasho na majungu kama watoto wa kike.
 
Pale washamba mnapokutana ,wew kijana hakuna kitu kinatutisha na udogo tu wa maarifa yako dhidi ya Miungu yako hao wazungu.

Nothing will happen nor scary, it's just your limited thinking capacity .

Kama unabisha katangazeni vita vya hadharani sio mipasho na majungu kama watoto wa kike.
Muda wako wa Kunywa Kidonge chako umewadia hivyo nakuomba Kanywe Dawa zako Kwanza ili Upone sawa?
 
Muda wako wa Kunywa Kidonge chako umewadia hivyo nakuomba Kanywe Dawa zako Kwanza ili Upone sawa?
Yaani bado unaamini mambo ya
freemason na mda huo unaabudu hilo kanisa. Una akili kweli?

Watu wanalipinga wazi kwa kusema 90% viongozi wa hapo ni mashoga na hakuna kitu wanafanya.

Kama unabisha tangazeni vita hadharani ndo mtajua nan ana amani ya kweli.!!
 
Back
Top Bottom