Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Sijui ni kwanini nikiufikiria tu huu Uhusiano wa Kiushirikiano ufuatao naogopa sana

Toka lini Vatican wakawa na nguvu kuliko Jews.
Vatican yenyewe ipo chini ya black suit people
 
We ndio umesema jaribu muone, as if mna la kufanya mbwa koko tu. Mnaacha kufocus kwenye hoja mna address insecurity zenu.
Sawa sisi mbwa koko ! naona mikwara mingi si mjaribu kama kweli nyie wanaume maana hata kuoa hamuoi ,sasa tuogope nn wanaume wasioweza kuoa.
 
Kwa faida ya wabishi ni kwamba.

Hao hao Vatican ndio wamiliki wa mifumo yote ya kiuchumi+siasa+kidini(uislam+ukristo).

Ndiomaana ktk nchi zetu masikin unaweza kumuona mtu fulan ama kiongozi fulan ana uwezo mkubwa wa uongoz wa ngazi kubwa ya uraisi lkn ashikapo uongoz huo tu kuna mambo anashindwa kuyatimiza hata yale aliyoyatolea ahadi hamjiulizi kwanini?

Jibu ni moja tu kuna mifumo inayozuia watu(viongozi) kwenda kinyume na matakwa ya waendesha dunia.

Hao Vatican kwa kawaida wanaonekana kama kimji fulan hiv cha kizaman na kitalii kwa ajili ya waumini wa kanisa katoric, lkn kiuhalisia ndio makao makuu ya Kanisa+ Falme inayoongoza dunia.

Falme hii haina jeshi rasmi bali ina nchi zake ambazo chini yake zinaiongoza dunia kwa kivuli cha ukatoric na mifumo yao, kwakuwa walitenganishwa siasa na dini basi wakaunda nchi zao Giants kiuchumi na kijeshi ili kucontrol dunia.

Hizo nchi mnazoziona zinatwangana wao kwa wao, kuanguka kwa mifumo ya kiuchumi na tofauti za kisiasa dunian ni wao wanao program ili kuleta mifarakano inayowafaidisha wao, mfano vita, majanga ya kiafya, mitifuano ya nchi na nchi bila kusahau tofauti za ukomunisti, ubepari, ujamaa ni hawa hawa wanaendesha haya mambo, bila kusahau bizness zote kubwa za madini, mafuta, madawa ya binadamu.

Niishie hapa kuna wajinga bado hawaelewi dunia inaenda vip, wanadhan mambo yanatokea kwa bahat bila kujua kuna maprogrammer wa matukio ya hii dunia.

Only for great thinkers
 
Sawa sisi mbwa koko ! naona mikwara mingi si mjaribu kama kweli nyie wanaume maana hata kuoa hamuoi ,sasa tuogope nn wanaume wasioweza kuoa.
We unadhani kushindana na nyege mchezo? Unadhani huku kuna masheikh ubwabwa wajinga mbumbumbu mzungu wa reli. We ndio umeanzisha ukadhani tutakuogopeni.? Nyoko kweli. Tutawapiga kama ngoma, crusade cha mtoto. Wajinga wakubwa ndio na akili, watu wanaongelea maslahi ya nchi mnaleta Udini Udini.
 
Kaeleza jinsi jinsi dunia unavyoendeshwa kwa kivuli cha dini , kwa nje lugha na uso wa upooooooole.....
 
TEC + VATICAN + POPE = MAFIA, INTELLIGENT AND RICH PEOPLE (Precious Blood Brothers)

Halafu Rais yoyote wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Kisiri wakimaliza Kuapishwa tu lazima waende Vatican City kwa Pope ( Papa ) wakabusu Rozari na Msalaba wake.

Na taarifa ikufikie popote pale kuwa Vatican ni Taifa Kubwa Tishio lisiloonekana (Invisible) lenye Nguvu ya Ajabu ambayo hata Marekani na Israel hawana na ndiyo maana Wanaiogopa na Kuiheshimu.

Nawapongeza kwa Kushtuka mapema kabla ya Hatari yao kwa Mrembuaji Macho Kungu Mmoja na Kusalimu Amri kwa Zao lao Kuu Afrika Mashariki na Kuufyata Kwake.

Chezeni na Wote ila siyo hawa RCs!!!
You are absolutely WRONG! Things are not like that. You don't know the catholic church systems. Surfice to say you are just speculating in the deep seas.
 
Kieneo ni dogo sana,ila kumbuka roman empira ndio empire kubwa kuhawi kutwala dunia nzima hakujawahi tokea empire kubwa kwama hiyo katika historia ya dunia.

Kama hoja ya udogo kumbuka pia British ilitawala sehemu kubwa ya dunia.

Hatutazami ukubwa wa eneo tunatazama nguvu na uwezo wa kimamlaka. Get your senses.
Umenikumbusha Ule Msemo. THE SUN NEVER SET IN BRITISH EMPIRE
 
We unadhani kushindana na nyege mchezo? Unadhani huku kuna masheikh ubwabwa wajinga mbumbumbu mzungu wa reli. We ndio umeanzisha ukadhani tutakuogopeni.? Nyoko kweli. Tutawapiga kama ngoma, crusade cha mtoto. Wajinga wakubwa ndio na akili, watu wanaongelea maslahi ya nchi mnaleta Udini Udini.
Si ndio maana mnalawiti😅😅 ndo maana mnaangalia porno kwa computers za kanisa..
 
Si ndio maana mnalawiti😅😅 ndo maana mnaangalia porno kwa computers za kanisa..
Kwani masheikh wangapi wanalawiti? Kila kukicha mnafukia kesi za maustadh madrasa kulawiti, Mbona nchi za kiislam Pakistan, Iran wanaongoza kuangalia porn za mashoga? We tena koma. Sisi hatufichi tunaaddress nyie mnalia kimyakimya.
 
Kwani masheikh wangapi wanalawiti? Kila kukicha mnafukia kesi za maustadh madrasa kulawiti, Mbona nchi za kiislam Pakistan, Iran wanaongoza kuangalia porn za mashoga? We tena koma. Sisi hatufichi tunaaddress nyie mnalia kimyakimya.
Fuata dini usifuate watu weny phd za kupewa 😅😅.

Kaangalie wanaojifanya hawaoi ila waangalia porno na computets za kanisa.
 

Attachments

  • Screenshot_20230828-091617.png
    Screenshot_20230828-091617.png
    68.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom