low thinking capacity
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 1,323
- 1,496
Wache wavae ikiwezekana watembee uchi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitazuia Bandari isiuzwe ? Hao watembea uchi wapo tangu na tangu tena Dar ndio kufuru kila Konahii inji ina watu aiseee wabongo Qumer new yoko
😂😂😂😂😂😂
Wakati gan ?Tunaenda na wakati
wahadzabe na bushman wakitembea uchi ni utamaduni ,Kitazuia Bandari isiuzwe ? Hao watembea uchi wapo tangu na tangu tena Dar ndio kufuru kila Kona
Mwisho wa siku matukio ya kubaka,kulawiti hayawezi kuisha..
Unaambiwa wamatengo ni wachapakazi Ila wangoni ni wavivu, kuna Mzee kagoma anasema wangoni ni watu shupavu sio wavivuwahadzabe na bushman wakitembea uchi ni utamaduni ,
wakojani na wangoni wakifanya hivyo ni kufuru!
buriani bandari Salaama
Tunaenda na wakati
Bora barmed kuliko mke wa mtu.Tunajifanya tunajua mno....ngoja Dunia itunyooshe..... tumekuwa wanawake wa ovyo sana...mke wa mtu na baamedi hawatofautiani kimavaz.....shame on us!
KabisaBora barmed kuliko mke wa mtu.
Ni kweli mwanawane kuwa mababu zetu walikuwa nusu uchi soo ni kawaida wala tusipige kelele, tuenjoy kuangalia maungo ya warembo wetu. Watamu sanaHabari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.
Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.
Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...
N.b uzi ni picha ....
Sasa nguo za nini jamani na wakati tumekubaliana kuwa mabe eru na vitu vyao hatutakiTunajifanya tunajua mno....ngoja Dunia itunyooshe..... tumekuwa wanawake wa ovyo sana...mke wa mtu na baamedi hawatofautiani kimavaz.....shame on us!
Barmed anavaa sket ndefu ndefu kidogo na tshirt. Mke wa mtu hapa Dar ni Chupi Dela mstari katika, sasa bhana kuna siku lidemu limoja lilivaa dela jeupe tena transparency daaah kitaa situkaona chupi hadi rangi ya tako yaani full HD 🤐Kabisa
Pia nashangaa pisi za siku hizi zinavaa suruali afu chupi inajichora hii nayo imekaaje sijui.Kabisa
Hao ndio watamu sasa....full burudani na bongee la vibrationBarmed anavaa sket ndefu ndefu kidogo na tshirt. Mke wa mtu hapa Dar ni Chupi Dela mstari katika, sasa bhana kuna siku lidemu limoja lilivaa dela jeupe tena transparency daaah kitaa situkaona chupi hadi rangi ya tako yaani full HD 🤐
Huu uwongo jamani, kwanza zile nguo ndio zinaongeza stimu ya kugegeda. Mie demu akivaa vile vicondom alafu awe na tako na thick thighs aiseee....hapo ni mwendo wa kunyetuka tuuhili swala limesababisha wanaume kukosa msisimko kwa wake zao au wapenzi, sasa unashinda unaona mapaja,matiti,vitovu kila wakati lini utakuwa na nguvu za kiume, zamani walijua kujistiri kiasi kwamba akikuonyesha paja tu una changanyikiwa.