Sijui ni utandawazi, mmomonyoko wa maadili ama ni ushamba wangu

Sijui ni utandawazi, mmomonyoko wa maadili ama ni ushamba wangu

Barmed anavaa sket ndefu ndefu kidogo na tshirt. Mke wa mtu hapa Dar ni Chupi Dela mstari katika, sasa bhana kuna siku lidemu limoja lilivaa dela jeupe tena transparency daaah kitaa situkaona chupi hadi rangi ya tako yaani full HD 🤐
🤣🤣🤣🤣 Mambo kiukweli ni☹️
 
Habari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.

Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.

Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...

N.b uzi ni picha ....

Ni utamaduni tu,nenda india uone vitovu wazi,ushamba tu umekujaa
 
Habari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.

Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.

Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...

N.b uzi ni picha ....
Ni ushamba wako tu kukaza kichwa,haya ni mabadiliko ambayo huwez kushindana nayo ni either yakubebe ama uyashinde ww binafsi ila in a bigger picture tunakoelekea ni kuzur zaid itakua vyupi nje nje
 
Na kuna hizi skirt ndefuu tuu ila ni kama utumboo

Yaan ukivaa chupii yooote hi apa nje
 
Tunarudi kwenye utamaduni wetu Wa Zama Za Mawe Za Kati!!
 
Habari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.

Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.

Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...

N.b uzi ni picha ....
Kuna Mama mmoja alimsema sana binti yake wa form 3 kisa binti yake alivaa gauni refu eti anamuabisha kuvaa minguo miefu kama bibi kikongwe[emoji1787]
 
Kuna Mama mmoja alimsema sana binti yake wa form 3 kisa binti yake alivaa gauni refu eti anamuabisha kuvaa minguo miefu kama bibi kikongwe[emoji1787]
Ni kama hapa kitaa kuna maza humvisha binti yake vimini na kumsifia kuwa ana miguu mizuri hatakiwi kuificha...
Yaani so sad
 
Back
Top Bottom