🤣🤣🤣🤣 Mambo kiukweli ni☹️Barmed anavaa sket ndefu ndefu kidogo na tshirt. Mke wa mtu hapa Dar ni Chupi Dela mstari katika, sasa bhana kuna siku lidemu limoja lilivaa dela jeupe tena transparency daaah kitaa situkaona chupi hadi rangi ya tako yaani full HD 🤐
🤣🤣SawaSasa nguo za nini jamani na wakati tumekubaliana kuwa mabe eru na vitu vyao hatutaki
Habari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.
Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.
Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...
N.b uzi ni picha ....
Ni ushamba wako tu kukaza kichwa,haya ni mabadiliko ambayo huwez kushindana nayo ni either yakubebe ama uyashinde ww binafsi ila in a bigger picture tunakoelekea ni kuzur zaid itakua vyupi nje njeHabari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.
Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.
Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...
N.b uzi ni picha ....
Nimecheka kwa sauti[emoji28][emoji12][emoji23]Hicho ndio kitazuia Bandari isiuzwe ?
Umeandika kwa hisia sana mkuuTunajifanya tunajua mno....ngoja Dunia itunyooshe..... tumekuwa wanawake wa ovyo sana...mke wa mtu na baamedi hawatofautiani kimavaz.....shame on us!
☹️Sad yaanUmeandika kwa hisia sana mkuu
Wao kwa waowahadzabe na bushman wakitembea uchi ni utamaduni ,
wakojani na wangoni wakifanya hivyo ni kufuru!
buriani bandari Salaama
wajinga sana hawajielewi ,Yaani mtu aoe hayo yanayotembea uchi ni nadra sana ndo maana single mothers ni wengi.Kadri wanavyotembea uchi na thamani Yao upungua
Karibu tuiuze Bandari kwa waarabuNgoja waje wakwambie Karibu mjini,karibu Daslam.
Kwamba inavidi turudie asili yetu?Sasa nguo za nini jamani na wakati tumekubaliana kuwa mabe eru na vitu vyao hatutaki
Kuna Mama mmoja alimsema sana binti yake wa form 3 kisa binti yake alivaa gauni refu eti anamuabisha kuvaa minguo miefu kama bibi kikongwe[emoji1787]Habari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu uchi. Kwa mfano unaweza kuta mdada kavaa suruali yake safi ila juu kavaa kinguo kinachoishia juu ya kitovu. Hii imekuwa na tabia inayoshamiri kwa kasi ya SGR.
Kwa upande wangu naona mavazi ya namna hii ni miongoni mwa chanzo cha unyanyasqji wa kijinsia na hata ubakaji.
Cha kushangaza zaidi kuna watu wanakuja na kusema tabia hio ni kuenzi tamaduni zetu maana hata wazee wetu enzi zile walikuwa wakivaa mavazi yanayoacha wazi sehem kubwa ya miili yao. Hapo ndio nabaki najiuliza je ni ushamba wangu ama ndio utandawazi umeniacha ...
N.b uzi ni picha ....
Ni kama hapa kitaa kuna maza humvisha binti yake vimini na kumsifia kuwa ana miguu mizuri hatakiwi kuificha...Kuna Mama mmoja alimsema sana binti yake wa form 3 kisa binti yake alivaa gauni refu eti anamuabisha kuvaa minguo miefu kama bibi kikongwe[emoji1787]