Archana nalo siyo chakulaWakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Hapo sasa ndio dalili ya majukumu yamepamba motoo...!Wakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Hapana mkuu, siko tayari.Archana nalo siyo chakula
Hiyo siyo sababuWamekuroga mzee umechepuka sana na mademu
Cha msingi mwili upate msisimko unapomwaga hata kama ni kimoja tuBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Una jini mahaba!Wakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Kivipi tenaInawezekana unaweka kidole kwenye fuko la rambo!
ki ramborambo mkuu!Kivipi tena
TAtizo lako sio kubwa.Wakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Hapana sifanyi hivyo lakini tambua kuwa hii hali inaniumiza sana.ki ramborambo mkuu!
Yamekuwa hayo tena!Kama husikii raha si uache kusex
Nipe no za my wife wako..?Yamekuwa hayo tena!
Wife nimwachie nani?