- Thread starter
- #41
Nakunywa soda ila siyo sanaunakunywa sana soda,energy, au tungi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakunywa soda ila siyo sanaunakunywa sana soda,energy, au tungi?
Energy kweli nakunywa lakini siyo sanaunakunywa sana soda,energy, au tungi?
Hicho ni chakula cha usiku. Huwezi kuwa na akili timamu kama hudombiArchana nalo siyo chakula
Fact mkuu.Hicho ni chakula cha usiku. Huwezi kuwa na akili timamu kama hudombi
Noma sanaNa Ndio Mfumo Wa Maisha Jana Ulikuanacho,,Leo Huna,,Kesho Fumbo Na Kinyume Chake Pia.
Tatizo kama hili linakera ila we acha tu!Na Ndio Mfumo Wa Maisha Jana Ulikuanacho,,Leo Huna,,Kesho Fumbo Na Kinyume Chake Pia.
Ushakaaa mda gani mrefu bila kupiga?Yaani hii hali tangu ianze kunitokea mpaka leo ndo hivyo hivyo iwe ugenini iwe nyumbani.
Nafika kilekeni ila baada ya kufika Ile raha au shoti ambayo unapanda mpaka kisogoni sipati ni kama uume una ganzi.Inamaana hufiki kileleni🤒
Energy kweli nakunywa lakini siyo sana
Mwezi mmojaUshakaaa mda gani mrefu bila kupiga?
Baada ya mwezi mmoja show ulopiga ilikuajeMwezi mmoja
Matatizo Kiujumla YanakeraTatizo kama hili linakera ila we acha tu!
Asante!
- Punguza msongo wa mawazo
- Badilisha lifestyle ya ulaji, tumia mbogamboga zaidi,matunda kwa sana jitahidi kwa siku angalau upate hata embe
- Kunywa maji mengi, punguza kunywa kahawa,energy,soda ikiwezekana acha kabisa
- Piga tizi, mazoezi hata ya nusu saa kwa siku yanatosha, jogging,push ups,planks,squats n.k
- kama tatizo likiendelea muone daktari/mwanasaikojia
SanaMatatizo Kiujumla Yanakera
Mambo yalikuwa vile vileBaada ya mwezi mmoja show ulopiga ilikuaje
Mlete TBS tukague viwangoWakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Usiwe unaipiga Kila cku, kaa hata week ili uwe na mzuka nayoNafika kilekeni ila baada ya kufika Ile raha au shoti ambayo unapanda mpaka kisogoni sipati ni kama uume una ganzi.