Una hela?mi dawa nnayo mkuuBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hela?mi dawa nnayo mkuuBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
changamsha gengeUna hela?mi dawa nnayo mkuu
Hauko pekeyako,Mimi pia mkuu😔Bora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Kaka Yan Kila nikiwaza kuwa na mpenzi alarm inapiga kichwan lazima niwe na kipato zaidi it means kwa si nilikwambia kwenye kibarua changu cha kupiga debe naweza piga 30k kwa day 🤣Ila sahv hali sio nzuri nimeshuka hadi 15k Sasa ili nianze kufikiria kuwa na mpenz labda nimiliki 1.8Mjobless una pata wapi nguvu ya kuwa na mpenzi 🤣😂
Sasa Cha kufia nn? Kwan si unatosheka mengine ya kujiua achana nayoBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Tunaochepuka unafikiri hatuna akiri eeh, fanya ucheze na mechi za nje zina mzuka wake.Wakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
au uli Swich ID? ephenMkuu kamdanganye mtoto wako
Kimoja hicho cha dk ngapi, ama ni tako 3 tu wazungu hawa hapa?Bora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
bora hata tako 3 bhandugu,nikiloweka bao watu wanashangilia.Kimoja hicho cha dk ngapi, ama ni tako 3 tu wazungu hawa hapa?
Dah, hilo tatizobora hata tako 3 bhandugu,nikiloweka bao watu wanashangilia.
ukiyachukulia serious sana mambo ya humu jukwaani, unaweza ukaingizwa chaka,mimi kwa upande wangu huwa nataka coment yangu ipate like nyingi,hasa zile za kicheko ndo furaha yangu, haya nilokwambia hayana uhalisia ktk maisha yangu halisi cc makaveli10Dah, hilo tatizo
Jaribu kugoogle unaweza kupata solution, vipi ulikuwa mzee wa x sana ama mzee wa nyeto?
Nilipe ili nimwage like kama njugu kwenye comments zako zote.ukiyachukulia serious sana mambo ya humu jukwaani, unaweza ukaingizwa chaka,mimi kwa upande wangu huwa nataka coment yangu ipate like nyingi,hasa zile za kicheko ndo furaha yangu, haya nilokwambia hayana uhalisia ktk maisha yangu halisi cc makaveli10
😆😅😂Archana nalo siyo chakula
Una madeni unayodaiwa? au mkeo anasura ya mjomba tuanzie hapo kwanzaWakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote.
Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.