Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Fanyeni ngono mkikumbuka Marekani kajitoa Who
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitanya hivyo 🙏
Daah badala tu focus na ma hyper space huko mkuu.Ukiwa na mkeo kwenye tendo jitahidi kusahau shida na matatizo ya Kila siku na u focus zaidi kwenye kazi iliyopo utaona mabadiliko
Mkuu tendo la ndoa ni starehe muhimu piaDaah badala tu focus na ma hyper space huko mkuu.
Unashauri tu focus na tendo la ndoa
😄😄😄
Aseeh labda azingatie lishe, apunguze stress, ajipe muda na afanye tendo anapopata hisia ttzo ni kwa mkewe itakuaje?Monetary doctor Msaada tafadhali nyumba inabomoka, Poor Brain njoo.
WahuniYamekuwa hayo tena!
Wife nimwachie nani?
Daaah mbona id yako ina jina la kibabe ila sasa naona unafurahia mambo ya ajabu mkuuMkuu tendo la ndoa ni starehe muhimu pia
Hamna mkuu 😄😄Daaah mbona id yako ina jina la kibabe ila sasa naona unafurahia mambo ya ajabu mkuu
Kivipi mkuuwewe ndio ephen?
Siyo vyemaWahuni
Sasa kwa wewe mkuu kwanza jitahid kupunguza paniki kila unapoiyona papa, harafu usipende kuitazama papa, pia usipanie kana kwamba ndio mara yako ya kwanza,, jambo unalotakiwa kuishi nalo ni kwamba Anza kumuandaa mwenza wako vzr na taratibu yaan ktk akili yako kihisia fanya kama ni rafiki yako mnacheza kawaida lkn ktk mrengo wa kuhakikisha anafika kwanza Safari yake! Sasa nakupa tiba hii hapa chini ya tatizo lakoBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Ngoja nifanye hivyo nioneTengeneza jamu ya asali mbichi na mdalasini wa India usage vzr tengeneza jamu uwe unatumia kilasiku asubuh vijiko 2,au paka kwenye Mkate, chai yako tumia asali na mdarasin, jion pia ukishapata mlo piga vijiko 2 hrf lala, fanya hivyo iwe ndio tabia yako japo fululiza kwa mwez mmoja! Hii ni nzuri sanaaaa mzee wangu hata kwa mtu wa kimoja chalii au tako 2 inajenga Sana hisia na nguvu!
2. Tumia juice yenye mchanganyiko wa maziwa, karanga, tende, ndizi na asali vijiko2 na mayai 3 ya kienyeji kula hivyo asubuh au jion yaan fanya ndio mlo wa siku nzimaaa hrf fanya mazoez rahisi tuu Lkn yahusishe miguu, kiuno, tumbo, mikono hili pia ni hatari kukujenga kihisia na nguvu!
3. Kila siku asubuh tumia vijiko 2 cha chakula asali mbichi na jion baada ya mlo iwe ni kawaida yako! Hebu Anza na hayo kwanza harafu uje utoe mrejesho hapa
Njoo nikudinyeWakuu sijui siku hizi nimepatwa na shida gani maana ninaposhiriki tendo la ndoa sipati msisimko kabisa ninapofika kwenye mshindo/ ninapomwaga/ ninapofunga goli.
Yaani ninaweza kuanza tendo vizuri hata nikamfurahisha mwenza wangu lakini nikifika wakati wa kumwaga sipati raha yoyote mpaka najiona mpumbavu kwa kutumia nguvu zangu bila faida yoyote. Ule msisimko niliokuwa naupata zamani haupo tena nifanyeje.
Naomba ushauri wenu wakuu 🙏
Cc: Dr am 4 real PhD, DR Mambo Jambo, Mshana Jr, Herbalist Dr MziziMkavu.
Oya....Njoo nikudinye
Hii ni ngoriAseeh labda azingatie lishe, apunguze stress, ajipe muda na afanye tendo anapopata hisia ttzo ni kwa mkewe itakuaje?
usikurupuke nime mquote epheni wewe umedandia treniKivipi mkuu
Mkuu kamdanganye mtoto wakousikurupuke nime mquote epheni wewe umedandia treni
jobless una pata wapi nguvu ya kuwa na mpenzi 🤣😂Kweli priorities Zina tofauti Mimi kwa matukio niliyopitia tangu 🤣awamu ya Maghufuli na Samia 🤣nipewe B moja wakisema wanfonyoe pumbu zote fresh tu