Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Kuna vitu sio vya kufanya kama dose, kwa nini ufanye kitu kama unaona hau feel kufanya, hauna vitu unavyopenda kufanya au? Haina dawa dawa ni kufanya mambo mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa mnataka kufanya mapenzi kama VIFARU?Bora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Mkuu kinachokosekana ni Ni ile shoti/raha baada ya kumwaga ila hamu ninayoUsiwe unaipiga Kila cku, kaa hata week ili uwe na mzuka nayo
Kumwaga unamwaga wewe ila anae ridhika ni wifey hii nayo ni kaliiKabla sajaanza kujamiiana huwa ninapata hamu shida unakuja Pala ninapomwaga manii ninakuwa sipati raha yaani siuoni impact ya ya kujamiiana kote zaidi ya kumridhisha wife.
Piga goti funga macho tukuombeee!!!!!!Mambo yalikuwa vile vile
Duh...Kuna vitu sio vya kufanya kama dose, kwa nini ufanye kitu kama unaona hau feel kufanya, hauna vitu unavyopenda kufanya au? Haina dawa dawa ni kufanya mambo mengine
Bora wewe, mie napiga robo goli Hadi mwakaniBora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Ila wewe!Hivi huwa mnataka kufanya mapenzi kama VIFARU?
Unataka kuunganisha mabao kwani wewe ni MANDONGA?
Kimoja kinatosha jamani, tuache wehu!
HayaChukua likizo
kaa miezi 2 bila tendo la ndoa, piga chai ya tangawizi Kali mixer kitunguu swaumu ×3 kwa mwezi 1.Bora yako mkuu,mimi kimoja chali,mwenye dawa aniambie shukrani.
Asante bibie, watu wengine wanafurihia majanga ninayopitiaPole mkuu
Thankskaa miezi 2 bila tendo la ndoa, piga chai ya tangawizi Kali mixer kitunguu swaumu ×3 kwa mwezi 1.
matunda tikiti maji kipande 1, karoti, parachichi, ndizi 2.
asubui na jioni.
usi sahau kuleta mrejesho, acha nyetoo we boya
minyama tu akipita minyama tuu.Kama husikii raha si uache kusex
Mimi siyo chibonge mkuuminyama tu akipita minyama tuu.
chichi chiboonge chichichi chibongeeee
wewe ndio ephen?Mimi siyo chibonge mkuu