Sijui Nitakumbukwa kwa Lipi Baada ya Maisha Yangu Hapa Duniani.

Aisee.. hii sio poa
 
Yeap hiyo energy ndo inatakiwa kuishi ingawa maisha tu sometimes yanakatisha tamaa na kama hauna mazingira yailiyo supportive hasa kwa familia na marafiki...hii energy kuifanya iishi huwa ni mtihani
daaahh umeongea ukweli mzito sana
 
Aiseee
 
Shida yako si ni kukumbukwa tu ?

Tafta demu mtie mimba so akizaa jina lako litakumbukwa tu kupitia mtoto
 
Kua kwanza bwana mdogo.. Miaka 20 unatakiwa uwe chuo unasoma, kwa maana hata kazi una. Kwa nini uwaze hayo dogo?unataka jina libaki baada ya kufa... Chimba kisima ata kwa mkono, jenga njia, weka jina lako mtaani keen.
 
Kua kwanza bwana mdogo.. Miaka 20 unatakiwa uwe chuo unasoma, kwa maana hata kazi una. Kwa nini uwaze hayo dogo?unataka jina libaki baada ya kufa... Chimba kisima ata kwa mkono, jenga njia, weka jina lako mtaani keen.
Elimu sina Ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…