Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
- Thread starter
- #181
Aisee.. hii sio poaMkuu, anza kuzalisha wanawake wengi uwezavyo ila hakikisha unawapima afya kwanza. Watoto wako watakuwa ni kumbukumbu yako na wao kwa chochote watakachoacha, ni kumbukumbu yako. Usikubali kumbukumbu ya baba yako na babu yako kwa upande wako ikomee kwako. Zalisha mkuu, hata rais wetu anasema hivyo.