Sijui Nitakumbukwa kwa Lipi Baada ya Maisha Yangu Hapa Duniani.

Sijui Nitakumbukwa kwa Lipi Baada ya Maisha Yangu Hapa Duniani.

Ndio. Kua Na furaha ndio maisha yatakua yenye thamani kwako. Huwez Fanya kitu kama huna furaha ndio maana mtume Paulo alisisitiza mno kwenye nyaraka zake kua FURAHINI, NARUDIA FURAHINI KATIKA BWANA coz ukiwa Na furaha utaweza Fanya mambo inavyotakiwa.
Huwezi Fanya Kazi kama huna furaha, huwezi abudu bila kua Na furaha.
HIV inaua coz MTU ajakua hana furaha, kutoka Na furaha kunamletea msongo, msongo unaleta magonjwa lundooo. FURAHINI .
He wewe furaha Na amani unaipata vipi!?
Wafilipi 4: 4-7
4 Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini! 5 Upole wenu ufahamike kwa watu wote. Bwana anakaribia kuja. 6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushu kuru 7 Na amani ya Mungu, ambayo inapita ufahamu wote, italinda mioyo yenu na nia zenu kwa Kristo Yesu.

Hii ndiyo siri ya furaha na amani kwangu.
Na Mungu hajawahi kuniangusha japo hanipi ninachotaka ila najua ananipa ninachostahili.
 
Wafilipi 4: 4-7
4 Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini! 5 Upole wenu ufahamike kwa watu wote. Bwana anakaribia kuja. 6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushu kuru 7 Na amani ya Mungu, ambayo inapita ufahamu wote, italinda mioyo yenu na nia zenu kwa Kristo Yesu.

Hii ndiyo siri ya furaha na amani kwangu.
Na Mungu hajawahi kuniangusha japo hanipi ninachotaka ila najua ananipa ninachostahili.
Oooh ahsante kwa kuweka kifungu kabisa!
Shida watu hatufahamj jinsi ya kutengeneza inner peace tu.
 
Guys maandiko yangu yana errors hatareee hadi yanatia kinyaa kusoma.
Why?
Simu nayotumia mbovu mnoo kiochote hakuna hali. Nivumilieni, ni umaskini tu yatapita..
Ukiwa na furaha furahiiii maana furaha haitodumu milele.
Ukiwa na huzuni /hali ngumu/ kufilisika usikate tamaa maana pia hiyo hali haitadumu milele.
Umekumbuka nini?????????
 
Ukiwa na furaha furahiiii maana furaha haitodumu kamwe.
Ukiwa na huzuni /hali ngumu/ kufilisika usikate tamaa maana pia hiyo hali haitadumu kamwe.
Umekumbuka nini?????????
Nimekumbuka maneno yako uliyosema. Hakuna kinachodumu daima, yote yanapita. Huzunii itakutesa lakini mwisho utaenda kwenye furaha. Napia huwez kua Na furaha muda wote. That's is why I miss you
 
Nimekumbuka maneno yako uliyosema. Hakuna kinachodumu daima, yote yanapita. Huzunii itakutesa lakini mwisho utaenda kwenye furaha. Napia huwez kua Na furaha muda wote. That's is why I miss you
Nisaidie kumtag mtoa mada aone alama na mambo mtu anayopaswa kukumbukwa nayo..
Asante sana hatimaye na Mimi nimeacha alama.
 
Una miaka 20 unalalaika duh pole sana,ukifikisha 40 itakuaje? Ngoja nikupe akil za usiku,nenda congo kanunue uchawi,hapo mtaani kwenu uwaadhubu mpk wakuogope halaf utakapokufa tutabak kusema jamaa alikua hatari sana,akikunyooshea kidole unakufa.. Nadhan utakua umeacha kitu
 
Nalala usingizi hauji, Nimejigeuza Mara kibao kuutafufuta usingizi lakini wapi, mwili unataka lakini akili haitaki..

Mara Nakumbuka Nimeishi kwenye hii Dunia zaidi ya Miaka 20 ila hakuna nililolifanya.. Hata Baiskeli sina.. Elimu sina.. Hakuna hata fununu wala tetesi ya Jina Langu Kukumbukwa au Kuenziwa Mara baada ya Maisha yangu Kufikia kikomo hapa duniani..

Nitafanya nini Jina langu Libaki? Nifanye nini?
Bro hilo sio lengo la wewe kuwepo hapa duniani.

Nijuavyo mimi wengi walio acha athari haikuwa lengo lao ni kuacha athari. Huwa inatokea tu.

Sisi huwa tunakatazwa kusoma ili tuwe wakubwa duniani au tuwe wanachuoni tajwa hapa duniani kwani ukifanya hivyo utakuwa unajidhulumu mwenyewe.

Nakupa ziada,athari ya jambo kubakia ni mpaka Mola apende kwa sisi tunao amini dini na uwepo wa Mola. Hapa kuna mifano mingi wako wengi waliofanya makubwa lakini athari yao haionekani bali hata vinywani mwa watu hawatajwi.

Waswahili wanasema "Tena wema uende zako".
 
"We should remember that saying 'I love you' is only a beginning. We need to say it, we need to mean it, and most importantly we need consistently to show it. We need to both express and demonstrate love."
I love you too.!!!
Vinci hana mengi ya kukupa ila anakuahida kukupa hivi vitu..
  • Kukupenda.
  • Kukuheshimu
  • Kukusikiliza
Vichache tu hivyo ndo nilivyonavyo kwako
 
Kuna Bwana Anaitwa Robin Sharma, katika kitabu chake Kimoja kinachoitwa The Greatness Guide.. huyu Bwana anasema ili Jina lako liishi Milele Fanya Haya Mambo Matatu..
1.Panda mti
2.Kuwa na Mtoto wa Kiume
3.Andika Kitabu

Binafsi mimi kwa mtazamo wangu sasa naona it won't work kwa dunia ya sasa
Kaka mkubwa hayo mawili ya juu katika matatu uliyoyataja napingana sababu miti hufa halikadhalika vizazi vina ukomo.

Ila elimu hubakia na kilicho andikwa kimeandikwa. Ila hapa pia katika kuandika vitabu sio kila kitabu kitabaki,wangapi wamendika vitabu na vikapotea ?
 
Kaka.. tatizo moja tulilonalo na mimi ambalo nimeamua kuliacha ni kuona zuri tu katika story..
Huyo jamaa wa darasa la saba hajakuambia magumu aliyoyapitia hadi kufika alipofika..
Kumbuka hakuwa na elimu wala mtaji ila wewe una elimu bila mtaji.. mtaji unatafutwa na maarifa ya kujinoa zaidi yanapatikana.. ukiwa the best in what you do inakuwa rahisi kuwa your own boss

This is what im trying to reach na nimeona wengi wamefanya na kufanikiwa...nikiweza ntaendelea, nikishindwa ntajifunza zaidi..so win-win tu hapa
Nadhani sasa ni Muda wa sisi Vijana kupeana mawazo chanya.. tunaweza kaka
 
Back
Top Bottom