Sijui nitamsaidiaje huyu rafiki yangu, uume wake haufanyi kazi kabisa

Ndio mana nikakwambia wewe mwenyewe ndio dushe mduuu,unaona ulivyo mkari,kama kweli unataka tiba ya jamaa yako lugha mbovu za nini,na nimekwambia aje mwenyewe mjengoni,

Ndio mana nikakwambia huku kwa wakubwa usilete uzi wa kijinga watakun,gamua.

Lakini usijali tutakutumia kama simu zilizofungiwa sasa ivi zipo kama calculator ,ata wewe usijali mana huna nia kama dushe alipandi kuna matumizi mengine tutakutumia na unafaa shaka ya nini.
 
We ujielewi ngoja nikuache tu.
 
We ujielewi ngoja nikuache tu.
Angalia kwanza jina lenyewe nalo itwa,mana yake mzigo wangu safi kazi kwako wewe unaeficha tatizo,alafu nikuelimishe ukileta uzi humu wewe nikusikiliza tu ushauli utakaopewa sio ulete majibu yasiofaa,nakuomba uwe mpole kama ulivvo amua.
 
Mwambie anitetex nijaribu kumsaidia japo ngumu kwa aliezaliwa nalo maana mimi ni bingwa wa kutibu nguvu za kiume kwa matunda tu bila kemikali yoyote ile 0712505049
 
Mu-ignore tu bro. Huna haja ya kupoteza muda na watu wasio na hekima
 
Mwalimu mkuu Yesu kristo aliwahi kusema maneno haya huko wilaya ya Yudea ng'ambo ya mto jordan yapata miaka 2,000 iliyopita "maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: wengine wamezaliwa hivyo,wengine kwasababu wamefanywa hivyo na watu,na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya ufalme wa mbinguni.Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee"--mathayo 19:12
 
Dawa za kutibu nguvu za kiume za mitishamba asili..0744069527..dawa ni mitishamba asili..
 

Masikini!
Mbona mtt akiwa na 2yrs asubuhi unaona kabisa km ni mzima?huyo mama ake vipi!
.au alizaliwa vzr ,baadae ndo akaharibikiwa?.
.lkn Yesu anaweza yote !
 
wanaume wa dar bado ni tatizo.km ni ww sema usaidiwe maana hakuna kinachoshindikana mbele ya muumba.

pili hilo sio tatizo la nguvu ya kiume.ni tatizo la kutokusimama basi au mbwa kutokubweka.

tatu km kazaliwa hivyo ujue nikama ulemavu wa mtu hana miguu au hana macho unairudisha vipi??hapo tunarudi ktk kusali sana na imani yke itamponya

nne muda wote huo alikuwa wapi anaficha tatizo km hilo na kujitibu mwenyewe miaka 29 mingi sana.

kitu cha cha kawaida cha kujiuliza hivi miaka 29 kitu kimesizi kije leo kiwake??hii ngumeza asee kw akil ya kibinadam.

#anyway maombi yanahusika sana hapo

huo mjibwa dar ndo maan serikali imeamua kuhama sio mahali pazr.haha (jokes)
 

Jamii forums Ni Hospital? Au kanisani kwa maombezi?
 
Haufanyi kazi kabisa? Sasa kukojoa anakojolea nini?
 
Naamina hilo tatizo linatibika. Cha msingi aonane na matabibu.. Kwa kua vijisenti anavyo basi haina shida kila kitu kitakua fne...
 
It can medically corrected, don't try waganga wakienyeji, ni issue mishipa au muscles.
 
Ikiwa ni wewe Siasa Basi mwenyewe ukiri kwa Muumba wako na kuomba msaada atatenda maajabu kwako kama alifanya kwa wengine waliombewa na watumishi wa Mungu siyo viongozi wa dini na mitume au manabii uchwara waliozagaa nchini leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…