Sijutii kuifahamu JamiiForums hasa Love Connect

Sijutii kuifahamu JamiiForums hasa Love Connect

Bora tu maswala ya kupelekana nyumbani ndio mwanzo wa kuanza kupika,,sijui kudeki ,,bora hotelin tuachane huko huko
Inategemea ukoje na huyo mtu wako. Ikiwa ni wachumba mlio na malengo huwa inafikia mahali pa kujuliana makazi na hata nyumba.

Ila kama ni hii ya kukubaliana kumegana bila kuwa na plans basi unaweza kukwepa hayo na mkakutana popote.
 
Nishukuru nami pia maana niliwabeba kwa taxi angu siku mmetoka onana mara ya kwz...
Umenishtua sana
Unaweza ukawa unatania but ukawa umepatia
Nakumbuka first Day namuona ni baada ya kwenda Jk international Airport akitokea nje masomoni ( PHD)
Na ni kweli tulichukua Tax .
Au ulikuwa unasikiliza story
 
We nanihiii.... Umeona eee mi nikikuambia unipende hutaki, mala oooh mi mchawi, kwan si nimekuambia nitakupa uganga uniague, mala oooh nina kad ya uvccm, haya olewa na hashimu lungwe sasa.
 
Umenishtua sana
Unaweza ukawa unatania but ukawa umepatia
Nakumbuka first Day namuona ni baada ya kwenda Jk international Airport akitokea nje masomoni ( PHD)
Na ni kweli tulichukua Tax .
Au ulikuwa unasikiliza story
Hahahaha
 
Inategemea na mwonekano wako.

Mfano Mimi ,,, Haitotokea kumleta Kwangu mwanamke mjanja mjanja !!.
Hatari sana
Sasa mjanja mjanja ndo mzuri
Hao wapole wa kupretend hao sio
Ukiwajua utanambia mdogo wangu Putin
 
Inategemea ukoje na huyo mtu wako. Ikiwa ni wachumba mlio na malengo huwa inafikia mahali pa kujuliana makazi na hata nyumba.

Ila kama ni hii ya kukubaliana kumegana bila kuwa na plans basi unaweza kukwepa hayo na mkakutana popote.
Kweli uchumba halafu kila MTU hajui kwa mwenzake
Au uchumba gani
Vizuri kutembeleana mnapoishi ili kufahamiana pia kuna faida pia
 
Sasa kwa mtu kama Mimi ninayependa kula mapishi ya mwanamke ,ndo kwamba hatuendani ????? Au kupika ndo hujui ???.
Najua kiasi chake sio sana,,kukupikia,kukufulia mpaka nikupende tu na unanipenda niko huru kwako ,,lakin mapenzi haya ya kufurahishana tu hapana ,,
 
Kabisa yani siku zote najuaga we mwanaume yaani ulivyoandika kutolewa posa Heee nikashtuka na jina Hilo unalotumia
Ndo nasikia kwako best
Mbona mada zangu nyingi ni za kike
Au IPO busy huzisonagi na ni nyingi kweli
 
Hahahaha ndio maana umeongoza mashambulizi kwenye ule uzi wa yule dada aliesema anawaona kama wanajiuza KE wanaotafuta wapenzi mtandaoni..



Hongera yako..
 
Hatari sana
Sasa mjanja mjanja ndo mzuri
Hao wapole wa kupretend hao sio
Ukiwajua utanambia mdogo wangu Putin
Duuhhh tengua kauli kidogo "mdogo Wangu* itengue .


Wanawake wajanja wajanja niwabaya sana, kwanza mkizenguana ndo SIKU iyo nyumba nzima itajua....
Alafu ujanja na kua mpole nivitu viwili tofauti ..au Mimi ndo sijui kiswahili ???/

Kinyume cha mjanja ni mpole eeehhhh????? asante TIE.
 
Inategemea ukoje na huyo mtu wako. Ikiwa ni wachumba mlio na malengo huwa inafikia mahali pa kujuliana makazi na hata nyumba.

Ila kama ni hii ya kukubaliana kumegana bila kuwa na plans basi unaweza kukwepa hayo na mkakutana popote.
Mi ni kavivu ,,kumfanyia mtu hayo nae awe ananifanyia vitu vya kunifurahisha moyo sana ,,hivi hivi tu hapana
 
Najua kiasi chake sio sana,,kukupikia,kukufulia mpaka nikupende tu na unanipenda niko huru kwako ,,lakin mapenzi haya ya kufurahishana tu hapana ,,
Aaahhhh basi sawa ndo nmekuelewa sasa.

Una prefer aina gan ya mapenzi ???? Ya kufurahishana au Yale yakupendana kweli ???au litakalokuwepo poa ????.
 
Back
Top Bottom