Sijutii kuifahamu JamiiForums hasa Love Connect

Sijutii kuifahamu JamiiForums hasa Love Connect

Jamani
Mimi kwa Experience yangu wanawake wengi wanapenda kuwa na MTU permanent..
Sasa anakuwa na huyu wanashindwana anaenda huku hivyo mwisho anakongoroka wanaume mnaanza kumuita Malaya
Wapo wachache hupenda hiyo kazi but mostly hali huwakutia njiani
Hivi ukipita usiku mathalani Ohio Street au Corner bar Ambiance yale sio maisha ni mateso mbu zaoo mvuaa .( Hapana ) nadhani wanakosa na uelewa wao mdogo wa kupenda vya mkato pia ni hatari sana kwao kuchukulia usiku ghafra na MTU hata hauhawai mzoea hata kwa simu( why??
Leo unazungumza mambo mazuri sana.kumbe huwa mnajitoa ufahamu tuu.


O
Anyway ,, maishan lazima tujifunze kupenda nakumjali mtu bila kutegemea utalipwa nn...maumiv huanza pale mtu unajaliiiiiii uku moyon ukitegemea atakulipa sawa naulichomfanyia.

.ndo utaishia kutoa laana lkn wapi mwenzako anadunda.
 
Umethibitisha kauli yangu humu ya siku nyingi kwamba humu watu wanaweza kabisa kupendana tena penzi zito kabisa. Hongera zenu na kila la heri kwenye penzi lenu. Si dhambi wala aibu na hakuna ubaya wowote kukutana mtandaoni na kupendana kwa dhati.
Helooooo .
You are my best friend for some time now ( You know me)
Some don't know .
Kati ya watu bora kabisa kutokea JF.....( Aksante kwa kunipa pongezi)
Niliwai kukuanzishia thread humu hope you remember..
BAK ni muungwana.
BAK mpaka ugombane naye wewe jiangalie twice .
Always you will be my brother
Very understanding .
Charming and you have that we humanity.
 
Sure siunaona hata Mimi umeshanivunja moyo ????.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . en you never know ,,Wenda tungetengeza chemistry moja amazing mpaka tukaja toa ushuhuda wandoa humuhumu.
Usivunjike moyo jomoni[emoji85][emoji85][emoji85]
Huwezi jua
 
Bana ,,embu acha kua naiman iyo...haimanishi maumiv alokupa mtu ,,hamna mtu anayeweza kuja kuyaponya ...

Ukiwa naiman iyo ,,atakuja mwanamme mwenye mapenzi naww ,,ilasababu unaiman mbaya ,,utamtreat vibaya ,,ataona hufai ,ataondoka.


Nikushauri ....UNAPOPENDA PENDA MTU KAM VILE HUJAWAHI KUTENDWA UKO NYUMA....
Sasa unaonaje kaka Putini mkayajenga Pm? Na Mama Sabrina
Maana naona tayari mnaanza kuelekeana kila mmoja anaanza kujua strength na weaknesse za mwenzie na mnazirekebisha pia utapata na zawadi ya kuitwa Baba Sabrina Bure
 
Leo unazungumza mambo mazuri sana.kumbe huwa mnajitoa ufahamu tuu.


O
Anyway ,, maishan lazima tujifunze kupenda nakumjali mtu bila kutegemea utalipwa nn...maumiv huanza pale mtu unajaliiiiiii uku moyon ukitegemea atakulipa sawa naulichomfanyia.

.ndo utaishia kutoa laana lkn wapi mwenzako anadunda.
Aksante kwa kunielewa Leo.
Nipo hivyo basi tu hujanisoma kiundani
 
Sure siunaona hata Mimi umeshanivunja moyo ????.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . en you never know ,,Wenda tungetengeza chemistry moja amazing mpaka tukaja toa ushuhuda wandoa humuhumu.
Leo nimekushikaaaa
Wewe si unapondaga online relationship au hapa wapiii
( Leo leoo))))
 
Back
Top Bottom