HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Aisee umeona umuumbe mwenzakoMchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio. Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege...www.jamiiforums.com
Tuliooa Drama Queens tukutane!!
Binafsi nimeoa Drama Queen ambae full sanaa, Yaani nilinunua kiwanja Mbweni ndio nikaenda masomoni September 2019 Australia. Sasa nataka kutuma hela asimamie ujenzi January hii nataarifiwa kashauza kiwanja nimeduwaa.www.jamiiforums.com
Ndoa kudumu inataka uzuzu
Kibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo. Yaani Ile mke akiamka tu full kuongea tu mtu mpaka unajuta kubaki home na Corona hii.. jamani Kuna kinamama wanaongea aisee Tena NEGATIVITY tu...www.jamiiforums.com
So, okay..!!