MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Andika uzi wako, hiyo ni mada nyingineSio manabii wa uongo tu.
Catholic, kkkt, anglican, waislamu zote hizo ni dini za utapeli maana wanaemuabudu ni fictional character
Mungu mwenyewe anaeabudiwa hayupo na hajawai kuwepo.
Hivyo usiwaseme manabiii peke yao. Huku waroma na walutheri nao wanakusanya sadaka za waumini wao