Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
Kichwa Cha kuku, lazma uone blurUnapaswa kuanza dozi haraka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa Cha kuku, lazma uone blurUnapaswa kuanza dozi haraka sana
kuwa juha na maiti ni raha, kwasababu wanaoumia ni wengineKichwa Cha kuku, lazma uone blur
Zero pilgrimage inakutesakuwa juha na maiti ni raha, kwasababu wanaoumia ni wengine
Mkuu siku zote mgonjwa ndo anamfuata mganga, sio mganga amfuate mgonjwaKwa hasira kuu, bila salamu
Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosho, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu
Ieleweke kwamba:
1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.
2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu
Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini
Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina
HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Kwa hivyo wametumwa na Mungu kufungua ma-goli wasubiri wagonjwa? Ndivyo Mungu anavyo fanya kazi hivyo?Mkuu siku zote mgonjwa ndo anamfuata mganga, sio mganga amfuate mgonjwa
Kwamba Mungu ndio anavyofanya kazi kwa kufungua magoli sijui hilo, hebu waza kama madaktari wangekuwa wanafuata wagonjwa majumbani?Kwa hivyo wametumwa na Mungu kufungua ma-goli wasubiri wagonjwa? Ndivyo Mungu anavyo fanya kazi hivyo?
Unaamini kuwa kuna manabii wa kweli pia? Kwa nini usiseme na manabii wa kweli ukaacha kupoeza nguvu zako na manabii wa uwongo?Kwa hasira kuu, bila salamu
Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosho, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu
Ieleweke kwamba:
1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.
2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu
Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini
Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina
HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Ndivyo tulivyoambiwa na Biblia, tuwa makini na manabii wa uongoUnaamini kuwa kuna manabii wa kweli pia? Kwa nini usiseme na manabii wa kweli ukaacha kupoeza nguvu zako na manabii wa uwongo?
Mkuu yesu alikua anaranda randa kila mahali kuwaombea watu, anawafuata huko huko walipo, alikua hana kituo na hana promotion au advertisement, hawa wapigaji wako kibiashara na wanauza baraka (maji na mafuta na wengine wanaweka viingilio)Kwamba Mungu ndio anavyofanya kazi kwa kufungua magoli sijui hilo, hebu waza kama madaktari wangekuwa wanafuata wagonjwa majumbani?
Lakini mbona huko mahospitalin kuna vituo vya maombi mkuu, mfano muhimbili kuna makanisa pale mgonjwa akihitaji maombi anasogea tu
Alikuwa harandi randi kuwaombea watu,bali alikuwa anahubiri habari njema, na wagonjwa alikutana nao njiani tena wengine walimfuataMkuu yesu alikua anaranda randa kila mahali kuwaombea watu, anawafuata huko huko walipo, alikua hana kituo na hana promotion au advertisement, hawa wapigaji wako kibiashara na wanauza baraka (maji na mafuta na wengine wanaweka viingilio)
Hawa wapigaji wanasumbua raia, tu, kwanza hawana chochote wanachokijua kuhusu theology, watu walikua na Yesu na mababu zao walikaa na Yesu hawana shobo kama hizoAlikuwa harandi randi kuwaombea watu,bali alikuwa anahubiri habari njema, na wagonjwa alikutana nao njiani tena wengine walimfuata
MBONA UNAWAPA KAZI KUBWA SANA!!!?Kwa hasira kuu, bila salamu
Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosho, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu
Ieleweke kwamba:
1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.
2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu
Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini
Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina
HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Hakika, wanachosha watu tuMBONA UNAWAPA KAZI KUBWA SANA!!!?
WAFANYE MAOMBI MAPEPO YOTE YAHAMIE KENYA AU ZENJI!.
SIO KILA SIKU, MWEZI, MWAKA PEPO TOKA, PEPO TOKA.
Mimi siamini. Nawaongelea wanaamini hususani kwenye ishu ya ugonjwaWewe unaamini kua unaweza kupata pesa na mali kwa kuombewa tu bila kufanya kazi ilimradi tu uwe na imani?!
Unatumia akili kweli? Hospitali wanafanya biashara, waende wakachukue wateja wao? Mbona watawaitia polisi? Use ur common sense!Kwa hasira kuu, bila salamu
Hawa manabii na mitume wauongo wanasumbua sana raia wetu wasio na akili za kutosha, wanawadanganya kwa vitu visivyo na kichwa wala miguu
Ieleweke kwamba:
1. Wagonjwa wako mahospitalini hao wa mitaani siyo wagonjwa ni watu wazima.
2. Pia hela zina njia zake, una weka hela ili upate hela, cheza bahati na sibu, au kamari au any other consideration, including consideration ya vitu haramu
Hivyo basi, waende Muhimbili au Ocean Road Hospitals, wakawaombee wagonjwa, wote watoke ma-wodini waingie road, hapo tutawaamini
Hela haziwezi kutokea kwa kubeba mchanga au kupaka mafuta au kumwagiwa maji au kuombewa, au kupigiwa ramli, hivyo vyote ni ushirikina
HAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Wale wagonjwa hawana Hela waleHAYA MAMBO YA KIPUMBAVU NI DALILI KWAMBA NCHI YETU BADO IKO DUNIA YA TATU NA WATU WAKE BADO WAKO KWENYE SAFARI YA KUWA BINADAMU
Watafika motoni wamechoka sanaSijawahi kuona jirani au ndugu anayesali kwa hawa MATAPELI wa Biblia akamiliki mali au akapona magonjwa. Sasa hawa eti wamepata magari kwa maombi ya Mwamposa:-
View attachment 3036557
Upuuzi na USHIRIKINA tu