chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"