mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Wasomi wa elimu dunia haooo🇹🇿📢😇😇😇😇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema ukweli kabisa!Ati anawindwa wakati yeye ndie alikuwa akiwinda Watu kama Digidigi.
Uzuri wameelewana na Boss wake Bashite.Duuuh kingeli cha kata hicho
Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika
Leo T.L.S-Arusha, Chama Cha wanasheria Mkoa wa Arusha wana kikao naye chemba, watampa vidonge vyake, wamekana kumjua huyo popoma mwenzako anayeitwa wakili. Hao ndio Makonda huwa anatembea nao na wanamshauri adhalilishe mawakili wa serikali au anyanganye watu mashamba na mali zao'Wakili feki' maana yake nini?
Umedhibitisha vipi kwamba huyo ni 'Wakili feki'?
Endapo umedhibitisha 'ufeki' wa uwakili wake kwa COMPETENCE yake ya spoken English, basi wewe pia ni fekero huko 'upstairs'. 😎
-Kaveli-
Ndio huyo
Mkuu, huyo si mwanasheria wala Wakili. I bet with my life! Halafu, msikilizaji ameshindwaje kumjua kuwa huyo ni kanjanja tu?..huyo ni mwanasheria aliyetokea TLS ambaye anasaidia ktk ziara za Mkuu wa mkoa.
..katika kila mkutano wa Makonda wa kusikiliza kero za wananchi kuna mwanasheria toka TLS ambaye anasaidia ktk masuala ya kisheria yanayojitokeza.
..hao wanasheria wa TLS huwa upande wa wananchi wanaoshtaki, na wale wa serikali ni walalamikiwa.
Hiyo ni mother tongue TU!sijaona kosa lolote hapo!!!Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika
Halafu ukute cheti chake kina GPA kali 😂Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika
Wapumbavu wote mbinguni sema bomayeeeeeeBashite ni mpumbav abayependwa na kusifiwa na wapumbavu, anachkifanya serikalin hakiwezekani
Hao ni mawakili wa Makonda, anawaamini balaa, kiasi kwamba wakimwambia awatukane mawakili wa serikali, anawatukana..huyo ni mwanasheria aliyetokea TLS ambaye anasaidia ktk ziara za Mkuu wa mkoa.
..katika kila mkutano wa Makonda wa kusikiliza kero za wananchi kuna mwanasheria toka TLS ambaye anasaidia ktk masuala ya kisheria yanayojitokeza.
..hao wanasheria wa TLS huwa upande wa wananchi wanaoshtaki, na wale wa serikali ni walalamikiwa.
Huyo siyo Wakili wewe, ni kanjanjaHaya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Acha kudanganya umma ,sema hatujui lugha sera mbovu za serikali ndo ssb,kingereza ndo lugha tunaitumia sekondar na kuendelea iweje useme sio lugha yetu? Mbona wakenya na wengine wanajua english? Sera mbovu za ccm za kutumia kiswahili shule za msingi kufundishia badala ya kiingereza ndo msingi wa ujinga huu huku watoto wao wakikimwaga kiingereza ktk shule za english medium au nje ya nchiKingereza sio lugha yetu..mimi sishangai..hata humu ingekuwa tunachat kwa kingereza tungetafutana humus...
Kumbe unajua tatizo ni mfumo wa elimu sasa unashangaa nini matokeo ndio hayo?!Acha kudanganya umma ,sema hatujui lugha sera mbovu za serikali ndo ssb,kingereza ndo lugha tunaitumia sekondar na kuendelea iweje useme sio lugha yetu? Mbona wakenya na wengine wanajua english? Sera mbovu za ccm za kutumia kiswahili shule za msingi kufundishia badala ya kiingereza ndo msingi wa ujinga huu huku watoto wao wakikimwaga kiingereza ktk shule za english medium au nje ya nchi