imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
🤣🤣🤣🤣😂Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣😂Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Kaupata vipi uanachama wa TLS?! Aibu kwa Law school.HUYO hajawahi kupita hata LLB, labda certificate ya sheria. aibu.
Hapo kuna mother tongue 👅issuesHaya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Huyo ni wakili kanjanja tu, hakuna kitu hapo kama hata kusoma kimalkia tu hawezi.'Wakili feki' maana yake nini?
Umedhibitisha vipi kwamba huyo ni 'Wakili feki'?
Endapo umedhibitisha 'ufeki' wa uwakili wake kwa COMPETENCE yake ya spoken English, basi wewe pia ni fekero huko 'upstairs'. 😎
-Kaveli-
Kilikuja na ndege mjue!
Inashangaza wanaosapoti kuwa huyo ni mwanasheria. Hawezi hata kusoma kiingereza tu, ina maana kwenye kuongea atakuwa empty kabisa.Mkuu, huyo si mwanasheria wala Wakili. I bet with my life! Halafu, msikilizaji ameshindwaje kumjua kuwa huyo ni kanjanja tu?
Sasa hata kusoma tu kashindwaKingereza sio lugha yetu..mimi sishangai..hata humu ingekuwa tunachat kwa kingereza tungetafutana humus...
wasiione ndugu zetu wa KenyaHaya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Hawa ndiyo ccm huwa inawapeleka kwenye kunegotiate mikataba na Wazungu matokeo yake kila mkataba tunajikuta tumepigwa kitu kizito kichwaniHaya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Hivi wakuu wa mikoa wengine hawafanyi kazi ni huyu tu anapendwa makamera?Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Aiseee🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️😂😂😂😂😂Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
Mkuu huyo wakili kichwani sifuri.Kwahio lingua inglesa ndio umetumia kupima uwezo was wakili au vyeti vyake!!?
Wachina wanavoongea kiingereza kwa mother tongue kunawanyima tenda za madaraja!!?
Bongo zozo!!
Hii inatutafuna sana wabongo !tena sana!
msomaji anajua ila anatatizo la ulimi jambo ambalo linawezamkuta mtu yeyote hata makonda anashida ya ulimiHaya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"
No no no no no no no no huyu Mtumbavu anatudhalilisha wanasheria asee..... Afungiwe na TLSHaya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika.
Huyu atakuwa partner wa Madeleka kwenye kampuni yao ya uwakili.
Popoma naye anauliza "Application ni hukumu?"