Kwahio lingua inglesa ndio umetumia kupima uwezo was wakili au vyeti vyake!!?Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika
View attachment 3002583
Atakuwa mdudu huyoDah mwamba Makonda unanifurahisha sana Sasa huyu mtu anayesoma kingereza Kama ana maji mdomoni ni wa wapi na umemuokota wapi jirani ??😃😃
Suala la kusema kiingereza siyo lugha yetu ni utetezi wa hovyo sana.Mkuu ni feki kwa sababu ya alivyosoma au siyo wakili? Kama kusoma sioni shida maana kingereza siyo lugha yetu ya kwanza hatuwezi kuwa fluent hivyo kwenye kukiongea
Siko vizuri kwenye lugha, ila huyo jamaa namshinda kabisa.Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika
Ndio huyo
Hivi sifa ni kuongea kiingerza kizuri au kutatua kero za wananchi?,Haya mambo haya, Bashite kapelekwa chaka na wana chuga, kapelekewa wakili feki mkutanoni. Wakili huyo alikuwa anaongea kama kameza bakuli la bamia mdomoni.
Kingereza cha wakili huyo ni sawa na mboga ya mlenda jinsi inavyovutika